Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,841
- 2,270
Asante kwa kuleta uzi huu kuhusu misosomolo, nitalifanyia kazi hilo la wali.
Kwa upande wa chai, hakuna kitu kinanikera kama ninakuwa na viungo vyangu safi vya asili,mfano, mchaichai ama tangawizi, nachemsha chai na kuweka hizi vitu lakini sipati fleva ninayoitaka. Sijui ninakosea wapi? Tangawizi ndiyo noma, unaweza baki na muwasho tu, harufu hamna. Imekuwa kubahatisha, siku yes siku hamna. Nifate kanuni gani wadau?
Kwa upande wa chai, hakuna kitu kinanikera kama ninakuwa na viungo vyangu safi vya asili,mfano, mchaichai ama tangawizi, nachemsha chai na kuweka hizi vitu lakini sipati fleva ninayoitaka. Sijui ninakosea wapi? Tangawizi ndiyo noma, unaweza baki na muwasho tu, harufu hamna. Imekuwa kubahatisha, siku yes siku hamna. Nifate kanuni gani wadau?