Mbinu ya kuacha kuchat na kumpigia pigia simu msichana

Safi ila usiwe mwepesi kufuata ushauri wa watu wa humu. Kama mnapendana mnyooshe tu kwa kumuonesha akujali asikupuuze au kukuona boya wake. Utaacha wangapi kwa kisa kidogo kama hicho?
Mkuu huyu demu namwona kama mnafiki safari ya kwanza aliniacha kwa wivu wake tu wa kijinga,safari hii kaomba turudiane tumedumu mwezi mmoja tu kaanza tena visa vyake so safari hii namtoa jumla akilini mwangu nlionesha kumpenda ila ndo hivyo kujishaua kwingi
 
Poa poa
Mkuu huyu demu namwona kama mnafiki safari ya kwanza aliniacha kwa wivu wake tu wa kijinga,safari hii kaomba turudiane tumedumu mwezi mmoja tu kaanza tena visa vyake so safari hii namtoa jumla akilini mwangu nlionesha kumpenda ila ndo hivyo kujishaua kwingi
 
Wadau nna Tatizo la kupenda kupiga simu na kuchat chat na mchepuko wangu lakini siku hizi anajifanya busy sana natamani niache kabisa kumtafuta manake naona anajiona keki sana kisa nampigia simu mara kwa mara ,nlifuta namba zake lakini siku flani akanitafuta ikabidi nizisave tena lakini hii Hali ya kuonekana Mimi ndo namtafuta sana kuliko yeye inaniumiza nipeni njia Moja madhubuti ambayo sitakua na muda wa kumtafuta hadi aanze yeye mi nishachoka na nahisi ananiona bwege sasa

Ni haya tu wakuu

HIVI NYIE FORM TWO "B" MNATARAJIA KUFANYA MOCK LINI??
 
Wadau,

Nina tatizo la kupenda kupiga simu na kuchat chat na mchepuko wangu lakini siku hizi anajifanya busy sana natamani niache kabisa kumtafuta manake naona anajiona keki sana kisa nampigia simu mara kwa mara.

Nilifuta namba zake lakini siku flani akanitafuta ikabidi nizisave tena lakini hii hali ya kuonekana mimi ndo namtafuta sana kuliko yeye inaniumiza nipeni njia Moja madhubuti ambayo sitakua na muda wa kumtafuta hadi aanze yeye mi nishachoka na nahisi ananiona bwege sasa.

Ni haya tu wakuu
Mkuu kuwa na mpenzi haijamaanisha shughuli zingine zisimame eti kisa kuongea na cm ama kuchart, sometimes mjifunze kwa sasa kuna changamoto nyingi za maisha so watu wanakuwa busy na mihangaiko sasa ww unataka ukijisikia tu upige cm au uanzishe kuchart tu hata kama mwenzio yuko busy na issue za msingi kisa mapenzi, kwan atakila mapenz mjin?
 
Wadau,

Nina tatizo la kupenda kupiga simu na kuchat chat na mchepuko wangu lakini siku hizi anajifanya busy sana natamani niache kabisa kumtafuta manake naona anajiona keki sana kisa nampigia simu mara kwa mara.

Nilifuta namba zake lakini siku flani akanitafuta ikabidi nizisave tena lakini hii hali ya kuonekana mimi ndo namtafuta sana kuliko yeye inaniumiza nipeni njia Moja madhubuti ambayo sitakua na muda wa kumtafuta hadi aanze yeye mi nishachoka na nahisi ananiona bwege sasa.

Ni haya tu wakuu
m'save "msumbufu ananidai"!!!!!
 
Mkuu umeoa na unafanya kazi? Maana usingelikuwa na Muda wa kuchat na mchepuko
Alafu naona ni mpenzi wako unamuita mchepuko
 
Acheni utani,ukichat na mchepuko utafurahi na roho yako.Michepuko ina maneno mazuri japo ya kiuwizi wizi tu.Mimi nimeshindwa kufuta namba maana Mchepuko unakusaka kuanzia Messenger,WhatsApp,Twitter,Instagram na hata JF (kwa kuotea otea tu)
 
Back
Top Bottom