siasa za 'kumbomoa huyu' na kulipua yule'.
while ardhi inauzwa,madini ,mafuta na gesi vyote on sale
Mkuu ukitaka kujua Ubaya wa Sita na Mwakyembe, waulize jinsi walivyopindisha riport ya Richmond na kuficha ukweli kumsaidia JK. Kama ulifuatilia Hotuba ya Lowasa katika Halimashauli kuu ya CCM pale Dodoma, alivyoweka wazi Ushiriki wa JK, ushauli alioutoa na ushawi wake juu ya Richmond na Rostam Aziz. Kama Utakumbuka Mh JK alishasema haijui Richmond wala wamiliki wake kumbe ilikuwa sio kweli. Achaa wee, hao jamaa ni WAPENDA MADARAKA na sio mashujaa kama tunavyodhaniWe ujielewe sitta ameleta mabadiriko makubwa katika bunge licha ya mapungufu yake..lakini unapomsema Mwakyembe mbaya inaonesha una matatizo ,mwakyembe ni kiongozi shujaa
CDM wanafikiria mambo makubwa zaidi ya hayo uliyotaja. Kimsingi siasa ni game na ili kushinda lazima kujipanga. Kilicho muhimu ni kwamba CCM haina mtu msafi hata Sitta si msafi maana Richmond ilimshinda kuimalizia!
Mbona wengi watakuwa chini ya mstari!! mtu kama ri.. angekuwa wa kwanza kutemwa.threads kibao but no point.kungekuwa na kipimo cha uwezo wa akiri ktk kujiunga na jamii forums ingesaidia sana
PHP:Pili, Lowassa na kambi yake wana kashfa nzito ambazo ni ngumu kuzifuta vichwani kwa watu kuliko Sitta ambaye hana kashfa.
Too low for a great thinker!
Uliza uambiwe kama hujui!