Mbinu ya CCM kwenye kesi za uchaguzi

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Msije mkafurahia mkisikia mbunge fulani wa CHADEMA ameshinda kesi aliyoshitakiwa na aliyekuwa mgombea fulani wa CCM. Hii ni mbinu ambayo huwa inatumika na CCM miaka mingi kuuibia upinzani.

NINI HUFANYIKA?
Katika chaguzi CCM huiba sana kura na muda mwingine humtangaza mshindi hata ambae hajashinda kwa hoja kwamba wapinzani kama hamjaridhika mkafungue kesi mahakamani.

Kinachotokea ni CCM nao kufungua kesi nyingi iwezekanavyo kisha zote wanawaacha wapinzani washinde.Hii itawafanya wapinzani waamini mahakama inatenda haki. Baada ya hapo kesi zote ambazo wapinzani waliporwa ushindi mfano Rungwe na kwa Kafulila Ma judge wanaipa ushindi CCM.

Mkilalamika kuwa mahakama haija tenda haki CCM Wanakuja na propaganda kwamba mahakama imetenda haki ndio maana hata wapinzani walishinda. Story inakuwa imeisha washindi wanarudi bungeni na mlioibiwa mnasubiri baada ya miaka mitano muibiwe tena.
 
Kwa hili dubwana lilipotufikisha yote yanawezekana! Ila siku limeanguka puuuuu nchi itazizima kwa machozi ya furaha! Haijalishi itachukua miaka mingapi nitasubiri tu Mungu akinipa uhai! Hakuna kinachoweza kufanyika nikaipenda ccm tena!
 
Upo sahihi kwa asilimia mia moja. Nakumbuka vema yaliyofanyika uchaguzi mkuu uliopita. Ccm ilifanya wizi wa wazi majimbo ya Sumbawanga mjini, Segerea DSM,Babati vijijini, lakini mambo yalivyoenda ni huzuni tupu.
 
mambo yanayofanya na serekali kwa kushirikiana na ccm yanaumiza sana,lkn tatizo ni ss wenyewe watanzania
tumeaminisha kudai haki ni kuvunja amani,kutokudai haki ni kutii sheria bila shurti
hii kwa badae ina madhara makubwa sana lkn watawala hawajali kabisa,kama zanzibar uchaguzi umefutwa unatarajia nini?
 
Msije mkafurahia mkisikia mbunge fulani wa CHADEMA ameshinda kesi aliyoshitakiwa na aliyekuwa mgombea fulani wa CCM. Hii ni mbinu ambayo huwa inatumika na CCM miaka mingi kuuibia upinzani.

NINI HUFANYIKA?
Katika chaguzi CCM huiba sana kura na muda mwingine humtangaza mshindi hata ambae hajashinda kwa hoja kwamba wapinzani kama hamjaridhika mkafungue kesi mahakamani.

Kinachotokea ni CCM nao kufungua kesi nyingi iwezekanavyo kisha zote wanawaacha wapinzani washinde.Hii itawafanya wapinzani waamini mahakama inatenda haki. Baada ya hapo kesi zote ambazo wapinzani waliporwa ushindi mfano Rungwe na kwa Kafulila Ma judge wanaipa ushindi CCM.

Mkilalamika kuwa mahakama haija tenda haki CCM Wanakuja na propaganda kwamba mahakama imetenda haki ndio maana hata wapinzani walishinda. Story inakuwa imeisha washindi wanarudi bungeni na mlioibiwa mnasubiri baada ya miaka mitano muibiwe tena.

Wewe wasema.
 
Msije mkafurahia mkisikia mbunge fulani wa CHADEMA ameshinda kesi aliyoshitakiwa na aliyekuwa mgombea fulani wa CCM. Hii ni mbinu ambayo huwa inatumika na CCM miaka mingi kuuibia upinzani.

NINI HUFANYIKA?
Katika chaguzi CCM huiba sana kura na muda mwingine humtangaza mshindi hata ambae hajashinda kwa hoja kwamba wapinzani kama hamjaridhika mkafungue kesi mahakamani.

Kinachotokea ni CCM nao kufungua kesi nyingi iwezekanavyo kisha zote wanawaacha wapinzani washinde.Hii itawafanya wapinzani waamini mahakama inatenda haki. Baada ya hapo kesi zote ambazo wapinzani waliporwa ushindi mfano Rungwe na kwa Kafulila Ma judge wanaipa ushindi CCM.

Mkilalamika kuwa mahakama haija tenda haki CCM Wanakuja na propaganda kwamba mahakama imetenda haki ndio maana hata wapinzani walishinda. Story inakuwa imeisha washindi wanarudi bungeni na mlioibiwa mnasubiri baada ya miaka mitano muibiwe tena.
Hiyo ni story ambayo haina tofauti na hadithi nyingine kama za alfu lela ulela au zile nyingine za kalumekenge.
 
msije mkafurahia mkisikia mbunge fulani wa chadema ameshinda kesi aliyoshitakiwa na aliyekuwa mgombea fulani wa ccm. Hii ni mbinu ambayo huwa inatumika na ccm miaka mingi kuuibia upinzani.

Nini hufanyika?
Katika chaguzi ccm huiba sana kura na muda mwingine humtangaza mshindi hata ambae hajashinda kwa hoja kwamba wapinzani kama hamjaridhika mkafungue kesi mahakamani.

Kinachotokea ni ccm nao kufungua kesi nyingi iwezekanavyo kisha zote wanawaacha wapinzani washinde.hii itawafanya wapinzani waamini mahakama inatenda haki. Baada ya hapo kesi zote ambazo wapinzani waliporwa ushindi mfano rungwe na kwa kafulila ma judge wanaipa ushindi ccm.

Mkilalamika kuwa mahakama haija tenda haki ccm wanakuja na propaganda kwamba mahakama imetenda haki ndio maana hata wapinzani walishinda. Story inakuwa imeisha washindi wanarudi bungeni na mlioibiwa mnasubiri baada ya miaka mitano muibiwe tena.
inaniuma sana kwa kuwa na chama tawala kisichotaka haki
 
Back
Top Bottom