Kigorohe
Senior Member
- May 21, 2019
- 160
- 252
Habari zenu wana JF! Kwanza nitangulize shukurani zangu za dhati kwenu kwani nimekuwa nikijufunza mambo mbalimbali kutoka kwenu, asanteni sana.
Nipende kwenda moja kwa moja katika mada, mimi ni kijana ambaye ni mpambanaji lkn pia nipo moja ya chuo kikuu kilichopo hapa Tanzania. Jamani mimi katika harakati za kusaka pesa nilijaribu kusaka mtaji mpaka nikafikisha takribani 760,0000 mnamo mwezi wa 7. Niliendelea kupambana lkn nikaendelea kupata pesa kidogo kidogo.
Ila sasa kusikitisha sasahivi nimebakiza 150,000 pekee na nahitaji 500,000 kwajili ya ada ili kwenda kuendelea na masomo ifikapo mwezi wa 11. Naombeni msaada wanu ni biashara ipi nitafanya kwa siku hizi chache zilizo bakia kwa kutumia mtaji wa Tsh. 150,000?
Karibuni na Mungu awabariki! Mi nipo Mwanza
Nipende kwenda moja kwa moja katika mada, mimi ni kijana ambaye ni mpambanaji lkn pia nipo moja ya chuo kikuu kilichopo hapa Tanzania. Jamani mimi katika harakati za kusaka pesa nilijaribu kusaka mtaji mpaka nikafikisha takribani 760,0000 mnamo mwezi wa 7. Niliendelea kupambana lkn nikaendelea kupata pesa kidogo kidogo.
Ila sasa kusikitisha sasahivi nimebakiza 150,000 pekee na nahitaji 500,000 kwajili ya ada ili kwenda kuendelea na masomo ifikapo mwezi wa 11. Naombeni msaada wanu ni biashara ipi nitafanya kwa siku hizi chache zilizo bakia kwa kutumia mtaji wa Tsh. 150,000?
Karibuni na Mungu awabariki! Mi nipo Mwanza