Elections 2010 Mbinu na uwezo wa Dr Slaa washuka

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/09/2010) kurudi Dar kwa mapunziko

Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?

Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
 
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko

Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?

Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
11980119.jpg
 
Kwa mtizamo wangu umetoa maoni yako. Kama imeripotiwa kuw amekuja kwenye kikao cha kamati kuu, wewe ukasema ameishiwa hoja, hapo tujadili nini? Tujadili kauli yako au taarifa sahihi kutoka CHADEMA?
 
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko

Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?

Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA

Ni haki yako ya kikatiba kuendelea kuwa na wasiwasi mkuu.
hongera
 
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko

Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?

Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA

Kwani kuna siku ulikubali kuwa uwezo wa Dr. Slaa uko juu? Au unafikiri anaanguka anguka. Umesha-quote magazeti tayari kuwa amekuja kwa ajili kikao cha kamati kuu, sasa nini cha ziada? wewe ndio mpangaji wa vikao vya kamati kuu vya chadema? Shame on you
 
To say this you need to be very genius otherwise you might go mad..
Wewe unaakili sana..........ni kweli amechoka sana na afya yake ni mgogoro na hafai kuwa rais wetu na ndiyo maana anaanguka hovyo majukwaani...........ccm hoyeeeee
katika kuelekea uchaguzi wa october 31, uwezo wa dr slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake jana (23/06/2010) kurudi dar kwa mapunziko

magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?

Nina wasiwasi na dr slaa uenda kaishiwa hoja
 
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko

Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?

Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA

Crap!
 
sasa hivi hatujibu ukiweka mada mbofu mbofu tutakuangalia tu ukiharibu za wenzako unakuwa banned au ignore
 
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko

Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?

Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA

Nadhani wewe ndo umeishiwa HOJA
 
To say this you need to be very genius otherwise you might go mad..
Wewe unaakili sana..........ni kweli amechoka sana na afya yake ni mgogoro na hafai kuwa rais wetu na ndiyo maana anaanguka hovyo majukwaani...........ccm hoyeeeee

Hujamwambia kuwa analopoka pia majukwaani na ahadi za UONGO,alianguka jangwani,nje ya nchi na sehemu zingine wameficha au sio?Kapumzike baba Kikwete...hivi tunaongelea nani vile?
 
ha ha ha ha ha hawa ni wana JF wapya waliojiunga baada ya Raia mwema kutoa takwimu, ha ha ha - you can make fool some people for some time but you can not fool them all the time
 
ha ha ha ha ha hawa ni wana JF wapya waliojiunga baada ya Raia mwema kutoa takwimu, ha ha ha - you can make fool some people for some time but you can not fool them all the time

WE endelea kucheka wenzako ndo tunakula
 
Umeshapiga kura kule kwenye kura ya maoni ya JF? Lazima umeshapiga maana ndio kilichokuingiza humu. Hongera!
 
Kama hamjamshtukia huyu kaja kutafuta habari kuwa kuna nini kwenye kikao cha kamati kuu.
 
hawa watoto wanaokua kwa kasi humu JF nahisi mbegu zilichakachuliwa UCHINA
 
Back
Top Bottom