Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,624
- 28,613
Kumbe jeEti no future kwahiyo ni kulana tu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe jeEti no future kwahiyo ni kulana tu??
Ndege wafananao huruka pa1 mkuuNa wewe mwanamke bado unakubali kuvua chupi na huku unajua wazi at the end of the day wewe ndo utapata hasara.
Mi nimeshakataa mahusiano yasiyo na future.. Nimepiga chini madem wangu wote saiv nipo mwenyewe tu.. Nasubiria demu wa kuoa kabisa..Kumbe je
Ni kweli dadaNdege wafananao huruka pa1 mkuu
hamnaga kujitambua kwenye papichi, ww wajitambua kwenye papuchi , sema ukweli mungu anakuonaa!!!Hao ni wanawake wasiojitambua na wanaenda kwa wanaume wasiojitambua,,,,mwanamke anayejitambua hayuko hivyo na mwanaume anayejitambua hawezi fanya upuuzi huo hapo juu.
Hakuna sekta niko makini kama hiyo.hamnaga kujitambua kwenye papichi, ww wajitambua kwenye papuchi , sema ukweli mungu anakuonaa!!!
Ni Sawa anapata kupata utamu...... Lakini je bei ya huo utamu inalipa?Ataachaje wakati anapata utamu, na nauli ya kurudi anapewa
Kwani kuna ambao hawasaki ndoa?Hii thread imenichekesha sana...wadada wasaka ndoa wanatabu sana hapa mjini. Wanatumia kila mbinu
Ujinga unaupenda sana. Hakuna ujinga kama hio yako ya kubadilisha wanawake kama nguo! Na hizo tabia zao hazijaku-cost bado.siku ukilivaa dumuzi ndio utajua cost ya hio tabia yako. Na hapo utajua ni yenye tag-name gani imekuambukiza.Haha. Mi nimwsha wajulia. Nina zile locker za chuma sokuizi anayeacha kitu ninaweka umo na ninafunga na kufuri. Kilichomo humo ni chupi kibao. Nimezipa hadi name tags ili nisiwe nazichanganya. Leo kama ni zam ya jesca bac nachukua chupi ake narudisha alipo kuwa ameiacha. Akiondoka tu narudisha. Sitaki ujinga kabisa. Hii tabia yao ilisha ni cost
Ukiona mtu yuko dizaini hio jua hajitambui wala hana malengo maishani. Yupo yupo tu.Wengine ndo wanachukulia mikosi humohumo
Gharama....Lodge gharama + Msosi wa kununua...Kama unajua unapita tu kwanini unampeleka kwako?