Mbinu mpya za wanawake wa siku hizi wanaosaka ndoa kwa nguvu..Ni noma sana

Kikubwa kilichopo ni siku hiz wanawake wanataka kuolewa wakat wanaume hawana mpango soo jibu ni wanawake kuwa straight tuu mbinu zote now wanazofanya hazifui dafu
 
Hao ni wanawake wasiojitambua na wanaenda kwa wanaume wasiojitambua,,,,mwanamke anayejitambua hayuko hivyo na mwanaume anayejitambua hawezi fanya upuuzi huo hapo juu.
hamnaga kujitambua kwenye papichi, ww wajitambua kwenye papuchi , sema ukweli mungu anakuonaa!!!
 
Haha. Mi nimwsha wajulia. Nina zile locker za chuma sokuizi anayeacha kitu ninaweka umo na ninafunga na kufuri. Kilichomo humo ni chupi kibao. Nimezipa hadi name tags ili nisiwe nazichanganya. Leo kama ni zam ya jesca bac nachukua chupi ake narudisha alipo kuwa ameiacha. Akiondoka tu narudisha. Sitaki ujinga kabisa. Hii tabia yao ilisha ni cost
Ujinga unaupenda sana. Hakuna ujinga kama hio yako ya kubadilisha wanawake kama nguo! Na hizo tabia zao hazijaku-cost bado.siku ukilivaa dumuzi ndio utajua cost ya hio tabia yako. Na hapo utajua ni yenye tag-name gani imekuambukiza.
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom