karim mtila
Member
- Jan 14, 2015
- 16
- 34
Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.
Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.
Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.
BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.
Thank me later.
Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.
Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.
BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.
Thank me later.