The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
Kama sijaridhika na matokeo ya raisi mwaka huu, lakini nikayakubali, uchaguzi ujao wakachakachua tena sikuridhika lakni bado nikakubali, mwaka huu sijaridhika, na sitaki kuyakubali nifanye nini ili kufikisha ujumbe wangu kwa taifa, nipigane, nisimtambue raisi au niamue kukubali tena na nizidi kuburuzwa? Ukipata jibu then relate na uamuzi wa chadema..kisha assume wewe ungekuwa chadema ungefanyaje?