muslina
Member
- Jul 25, 2017
- 20
- 14
Tupo weng kwl ht mm napenda kaz ya askr wa Aina yeyotetujuzane jamani , mi nahitaji na napenda kutoka moyoni,, siku nafasi zikitoka tuambiane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo weng kwl ht mm napenda kaz ya askr wa Aina yeyotetujuzane jamani , mi nahitaji na napenda kutoka moyoni,, siku nafasi zikitoka tuambiane
ucjal 2zidi kupeana mahabariTupo weng kwl ht mm napenda kaz ya askr wa Aina yeyote
Uwe m'mbea m'mbea kama ulishawahi kusutwa inakuwa ni added advantage mkuu!Vigezo gani wanatumia kuwa afisa usalama(mpelelezi)
Hahahaha shilawadu wasingelia kukosa ajira.Uwe m'mbea m'mbea kama ulishawahi kusutwa inakuwa ni added advantage mkuu!
Natania mkuu ngoja wenye fani yao watakujibu!!
1.Awe raia wa Tanzania
2.Awe na Umri kati ya miaka 18-23
3.Awe amemaliza darasa la saba na kuendelea
4.Asiwe ameoa au kuolewa na asiwe na mtu yeyote anayemtegemea
5.Awe tayari kufuata sheria zote za kijeshi zitazokuwa juu yake wakati akiwa jeshini(kutoroka,wizi,ulevi,uvutaji bangi, madawa ya kulevya na upatikanaji wa mimba n.k) Jeshini ni makosa makubwa na utaweza kushtakiwa na kufutiwa mkataba na JKT
6.Awe tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wake na Jeshi la Kujenga Taifa
7.Awe na tabia na mwenendo mzuri
Ni kweli kabisa!Kwenye umri kwa wenye sifa za ziada i.e bachelor & masters degree etc wanachukua hadi 35yrs
Kuna nini hapo kwani
inayomuhusu nadhani amenielewaKuna nini hapo kwani
Utaweza push up kwenye kokotoyap tupo wengi. kiukweli tunao hitaji tujuzane jamani,, tusichokane
mtoto wakikurya hashindwi kitu,,, najiamini naweza,,, udada do,, unakaa pembeniUtaweza push up kwenye kokoto
Utaweza kulala polini week6
Utaweza kutembea na viporo vya ugali kwenye mfuko wa kombati
Utaweza kuoga mtoni bila sabuni
Utaweza kutembelea kiwiko cha mikono Mita200
Utaweza kuitunza silaha siku zote za mafunzo
Utaweza kwata LA jasho na damu
Anyway njoooo
Mkurya!!!!!mtoto wakikurya hashindwi kitu,,, najiamini naweza,,, udada do,, unakaa pembeni
ndio, ila ilo neno la mwisho umeniachaMkurya!!!!!
Wabhotata
Hiyo ni salaamndio, ila ilo neno la mwisho umeniacha
acha uwongo ww,, kikurya hatusalimii hvy bhn,,Hiyo ni salaam
Njia ya muongo ni fupi
Mkurya gani usiyejua salaam za kikurya shubaaamiitt!!
Wanasalimiajeacha uwongo ww,, kikurya hatusalimii hvy bhn,,
Samahani, natoka nje ya mada:
Hivi kwa majeshi mengine mfano magereza,polisi n.k nako pia wenye elimu ya kuanzia kidato cha sita wanachaguliwagwa kwenda u ofisa?
Hahahahahahahahaha, uofisa utausikia kwenye bomba tu.