MBINU:Jinsi ya kujiunga na jeshi la JWTZ na JKT

1.Awe raia wa Tanzania
2.Awe na Umri kati ya miaka 18-23
3.Awe amemaliza darasa la saba na kuendelea
4.Asiwe ameoa au kuolewa na asiwe na mtu yeyote anayemtegemea
5.Awe tayari kufuata sheria zote za kijeshi zitazokuwa juu yake wakati akiwa jeshini(kutoroka,wizi,ulevi,uvutaji bangi, madawa ya kulevya na upatikanaji wa mimba n.k) Jeshini ni makosa makubwa na utaweza kushtakiwa na kufutiwa mkataba na JKT
6.Awe tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wake na Jeshi la Kujenga Taifa
7.Awe na tabia na mwenendo mzuri
Makovu na tatoo vipi
 
Kigugumizi na Kitovu Kikubwa ni Automatic Disqualification

Kiufupi wanajeshi Ni watu ambao wanafanana hata Ukiwa na kibamia sidhani kama Unachukuliwa hawataki Kasoro zitakazokufanya Uonekane Tofauti hata kuvaa wanavaa sehemu moja.
 
tapatalk_1507702334100.jpeg
 
MKuu hizi Ajira mkuu wa nchi alizoahidi kuzitoa zinahusu watu gani waliopitia JKT kujitolea au mujibu au wakujitolea tu
Mkuu wa majeshi alihojiwa juzi ITV na kusema kuanzia sasa JWTZ hawata ajir mtu yoyote nje ya JKT
 
Mkuu wa majeshi alihojiwa juzi ITV na kusema kuanzia sasa JWTZ hawata ajir mtu yoyote nje ya JKT
Kuna kitu kinaitwa Mahitaji Maalumu yani leo Majeshi ya wenzetu wanamfata mtu na kumpa offer fulani ili ajiunge nao regardless of his or her age But his skills, Jeshi linapaswa liangalie Special Skills alizonazo mtu before recruit, Mamb ya minguvu na Mapigano Ardhini ni outdated sasa, Now Military is all about Tech and intelligence
 
Back
Top Bottom