Hii njia wakala anakataa...labda huyo anaetumiwa code awe mkoa huo huo yaani awe eneo la karibu
Inasemekana kwamba mtu aliyepo mbali akitoa hela kwa njia hiyo anaweza akaiba kwa urahis na wakala akienda kushtaki makao makuu hasaidiwi kwasababu mtu inabidi atoe hela akiwa kibandani na sio hukoo atumiwe code ya wakala
wabongo noma sana khaaMfano elfu 20 usitoe elfu 20 kamili toka 19900.....ambapo utakua na mia yako ya pembeni ambapo utampa wakala naye atakupa 20000 kamili
Uko Abu Dhabi sehemu gani mkuu..?Huku Abu Dhabi saivi Kuna joto Kali mno
Mkuu hiyo tsh 1 Wakala atakusaidia kulipa? Au vepehaina haja ya kubeba 100 mkuu, unatoa 19,999/= unapewa 20,0000/=
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app