chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,333
Wakuu siendi mbali sana ila nimegundua njia halali ya kupunguza pesa tunazotozwa sisi wanyonge kwenye miamala ya simu.
Mbinu inayotakiwa kuifanya ukitaka kutuma pesa au kutoa pesa kwa wakala fanya hivi:
1-kutuma, tuma shilingi 990, 9990, 19990, na kuendelea.
2- kutoa pesa kwa wakala: toa shilingi 1900, 9900, 99900, 199900 na kuendelea, ukifanya hivo utaokoa pesa nyingi ambao kwa kodi yao na tozo pia!
Mbinu inayotakiwa kuifanya ukitaka kutuma pesa au kutoa pesa kwa wakala fanya hivi:
1-kutuma, tuma shilingi 990, 9990, 19990, na kuendelea.
2- kutoa pesa kwa wakala: toa shilingi 1900, 9900, 99900, 199900 na kuendelea, ukifanya hivo utaokoa pesa nyingi ambao kwa kodi yao na tozo pia!