Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
Nakumbuka nilienda mahali flani wakati wakupiga story alitokea kijana mmoja akaja kuleta taarifa ya msiba wa mama wa mtoto niliye kua nikiongea nae,pale pale yule mama alipata presha akadondoka nae Akafariki..
sasa najaribu kuwaza ni mbinu gani inafaa kwa mtu aliyefiwa na mume/mzazi/mtoto/ndugu halafu sisi majirani au ndugu tuweze kumfikishia taarifa kwa muhusika bila kusababisha Kifo kingine?
Msiba wa bibi yangu mzaa mama nakumbuka mleta Taarifa alinikuta nikiwa na mama..akamwambia mama kua BIBI kafariki Sitosahau kile kibao alichopokea yule kaka,hakugeuka nyuma aliondoka na hakurudi tena Ila ndio hivyo taarifa ikawa ishafika...sasa mama kama nae angekua na matatizo ya presha presha kwa jinsi mletaa taaarifa alivyoileta nadhani tungepata MSIBA mwingine.
NINI KIFANYIKE KATIKA KUFIKISHA TAARIFA KWA NJIA YA USALAMA??
sasa najaribu kuwaza ni mbinu gani inafaa kwa mtu aliyefiwa na mume/mzazi/mtoto/ndugu halafu sisi majirani au ndugu tuweze kumfikishia taarifa kwa muhusika bila kusababisha Kifo kingine?
Msiba wa bibi yangu mzaa mama nakumbuka mleta Taarifa alinikuta nikiwa na mama..akamwambia mama kua BIBI kafariki Sitosahau kile kibao alichopokea yule kaka,hakugeuka nyuma aliondoka na hakurudi tena Ila ndio hivyo taarifa ikawa ishafika...sasa mama kama nae angekua na matatizo ya presha presha kwa jinsi mletaa taaarifa alivyoileta nadhani tungepata MSIBA mwingine.
NINI KIFANYIKE KATIKA KUFIKISHA TAARIFA KWA NJIA YA USALAMA??