TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 927
- 1,274
wakuu habar za muda huu,
Naamini hapa nipata msaada wa kutosha na mbinu mbalimbali kutoka mashule mbali mbali namna wanavyofanya kupata wanafunzi wengi kwenye shule zao.
Hivyo, naomba tusambaze uzoefu wa mbinu hizo ili ziweze kutusaidia na sisi, pia ndugu zangu unaweza kutaja mbinu halali au hata haramu namna watu wanavyoweza kupata wanafunzi.
ili mjadala uwe mpana Sana tusiangalie tu pre school peke yake tuangalie pia primary na sec kwa ujumla.
AMANI IWE NANYI.
Naamini hapa nipata msaada wa kutosha na mbinu mbalimbali kutoka mashule mbali mbali namna wanavyofanya kupata wanafunzi wengi kwenye shule zao.
Hivyo, naomba tusambaze uzoefu wa mbinu hizo ili ziweze kutusaidia na sisi, pia ndugu zangu unaweza kutaja mbinu halali au hata haramu namna watu wanavyoweza kupata wanafunzi.
ili mjadala uwe mpana Sana tusiangalie tu pre school peke yake tuangalie pia primary na sec kwa ujumla.
AMANI IWE NANYI.