Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Inashangaza.
Kaka mtu nina miaka 8 ninamiliki simu ya mkononi. Sijawahi kutumiwa hiyo meseji ya Kiwete inayosema Dr. Slaa anataka kuingia ikulu kwa kumwaga damu. Naiona kwenye simu za watu tu. Hata hivyo, SIITAKI.
Mdogo wangu ana nusu mwaka ana mililki simu, ameshapata huo ujumbe mara 7. Ajabu ni kwamba sote tunatumia Voda.
Nilipomuuliza maoni yake kuhusu hizo meseji akajibu: "CCM wababaishaji".
Fitina hizi zitamsaidia nini Kikwete?
Kaka mtu nina miaka 8 ninamiliki simu ya mkononi. Sijawahi kutumiwa hiyo meseji ya Kiwete inayosema Dr. Slaa anataka kuingia ikulu kwa kumwaga damu. Naiona kwenye simu za watu tu. Hata hivyo, SIITAKI.
Mdogo wangu ana nusu mwaka ana mililki simu, ameshapata huo ujumbe mara 7. Ajabu ni kwamba sote tunatumia Voda.
Nilipomuuliza maoni yake kuhusu hizo meseji akajibu: "CCM wababaishaji".
Fitina hizi zitamsaidia nini Kikwete?