bad spenko
Senior Member
- Jun 22, 2020
- 125
- 137
Niwazavyo mimi ninaona ipo siku wadamu wote watatoweka duniani na kuja viumbe wengine, jaribu kuona kwamba kwanini wanadamu wa kale walikua wakiishi miaka mingi ila kila siku na miaka inavyokwenda umri wa kuishi unapungua kutoka miaka 300 na kuendelea na kupungua hadi kufika miaka 95 kushuka chini adi dk 1.Umewaza kitulivu, lakini kuna maswali rahisi umeyafanya kuwa magumu kwa makusudi.
Mfano q#2! 'Ndani ya muda huo Adamu.....etc etc!
Jibu lake mbona ni rahisi tu, kwamba alikuwa hajabaleke, kwani binadamu kabla ya balekhe huwa ana uwezo wa kuyafanya hayo uliyouliza?
Maelezo yako ya hoja kuhusu uumbaji wa Mungu kuumba mwanadamu dume bila jike, wakati alikuwa na 'exposure' ya uumbaji huko nyuma kuumba viumbe kwa mfumo wa pair ya dume na jike ili vizaliane, ninayaunga mkono.
Katika maelezo ya vitabu vitakatifu kuna mkanganyiko, ni kama vile M/Mungu viumbe alioanza kuwaumba walikuwa ni binadamu, kumbe binadamu ndiye kiumbe wa mwisho kuumbwa na kuwekwa hapa duniani.
Binadamu kaletwa duniani kakuta viumbe wanaishi na wengine hakuwakuta, tayari walikuwa wametoweka (mf: dinosours), lakini viumbe wote hao walikuwa madume na majike.
Iweje kwa binadamu kuwe na mkwamo na kusua sua kwa uumbaji kiasi hicho?
Huwa inafika mahali maandishi yanajichanganya menyewe halafu waumini tunafokewa na kutishwa ili tusitafakari kiuyakinifu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona kwamba maisha yanavyobadilika mtoto uliemwacha kijijini bado ni mdogo ukionana nae after 5yrs tayar amebadilika kupita kiasi kwamba tayar mnalingan na hata yeye akaonekan ni mkubwa kwako, :
ni mfano:
Kwa mantiki hiyo kama zamani walikuepo viumbe wengine na sasa wametoweka kabisa, historia inatuambia kua MIJUSI ya kale ndio viumbe waliokua na akili na teknolojia ya juu kushinda hata mwanadamu.
Ila sasa walitoweka. Najaribu tu kuwaza