johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,752
- 139,552
Wilayani Mbinga mkoani Ruvuma ni 23% tu ya wanafunzi waliofaulu kujiunga kidato cha kwanza ndio wameripoti mashuleni.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma amewataka viongozi wa wilaya hiyo kuingia mtaani kuwasaka wanafunzi hao na kwenda kuyajaza madarasa.
===
Kati ya wanafunzi 2,361 waliotakiwa kuripoti kuanza masomo ya kidato cha kwanza katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma ni wanafunzi 551 tu ndiyo walioripoti shule sawa na asilimia 23.3 tu.
Chanzo: ITV habari
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma amewataka viongozi wa wilaya hiyo kuingia mtaani kuwasaka wanafunzi hao na kwenda kuyajaza madarasa.
===
Kati ya wanafunzi 2,361 waliotakiwa kuripoti kuanza masomo ya kidato cha kwanza katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma ni wanafunzi 551 tu ndiyo walioripoti shule sawa na asilimia 23.3 tu.
Chanzo: ITV habari