Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Jana nilihudhuria tafrija ya uzinduzi wa Mfuko wa maendeleo ya watu wa Arusha(Arusha Development Foundation) kwa Ajiri ya kusomesha watoto waliopatwa na matatizo ya kujiunga kidato cha kwanza.
Bila shaka watu walifi ingawa sio wengio wao wote walio alikwa bali ukumbi ulijaaa na kwajinsi hiyo nilio iyona basi huo ni mfano bora sana kwa wananchi wao wenyewe kuweza kuchangia maendeleo yao wenyewe na walipata kiasi cha 25Mil Tsh.
Na huo ni mwanzo tuu nadhani huo mfuko ukifanikiwa kweli utaleta matumaini makubwa sana kwa wakazi wa Arusha
Jana nilihudhuria tafrija ya uzinduzi wa Mfuko wa maendeleo ya watu wa Arusha(Arusha Development Foundation) kwa Ajiri ya kusomesha watoto waliopatwa na matatizo ya kujiunga kidato cha kwanza.
Bila shaka watu walifi ingawa sio wengio wao wote walio alikwa bali ukumbi ulijaaa na kwajinsi hiyo nilio iyona basi huo ni mfano bora sana kwa wananchi wao wenyewe kuweza kuchangia maendeleo yao wenyewe na walipata kiasi cha 25Mil Tsh.
Na huo ni mwanzo tuu nadhani huo mfuko ukifanikiwa kweli utaleta matumaini makubwa sana kwa wakazi wa Arusha