Mbezi Louis: Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ameharibu mipango ambayo ilikuwa inaenda vizuri

Habari JamiiForums.

Leo 08/11/2021 kilichotokea eneo la Mbezi Louis ni kichocheo cha vurugu. Hii inatokana na maamuzi yaliyotolewa na mkuu wa wilaya na viongozi wengine ambao waliongozana kwenye msafara.

Watu (Machinga) tulikuwa na vipande vyetu tuliweka mabanda na wengine meza na biashara zilikuwa zinaendelea. Kufuatia agizo la kutolewa kwenye hifadhi ya barabara na maeneo mengine ambayo sio rafiki tulikubali na kutoa mabanda yetu na maeneo yalibaki wazi.

Cha kushangaza mkuu wa wilaya na wenzako leo mmetoa amri ya watu kurudi kujigawia maeneo na kuendelea na biashara. Hadi muda huu ni mpambano watu wanagombania nafasi na kurudisha mabanda.

Kilichoniuma ni waliokuwa na maeneo wanafika eneo la tukio na kuona mtu ambaye hajawahi kuwa na biashara pale Mbezi Louis amewahi nafasi, hata wapita njia nao wanagombania maeneo.

Mkuu wa wilaya ungetumia japo akili kidogo na kutoa tamko la kueleweka kuwa watu warudi kwenye maeneo yao ya awali sio kusema kila mtu apambanie nafasi(kugombania).

Kutokana na taarifa yako watu hawajawahi kuwa na maeneo wala kuhitaji au kuwa na biashara lakini wanapigania maeneo ili wamiliki.

Maoni yangu: Tusirudishwe tena kufanya biashara barabarani na maeneo mengine ya wazi.
Mimi ni Machinga kutoka Mbezi Louis.
Kiwango cha Elimu: Master of Laws in Procedural Law and International Legal Practice.
Mawasiliano yangu ni PM.
. . L...
 
Habari JamiiForums.

Leo 08/11/2021 kilichotokea eneo la Mbezi Louis ni kichocheo cha vurugu. Hii inatokana na maamuzi yaliyotolewa na mkuu wa wilaya na viongozi wengine ambao waliongozana kwenye msafara.

Watu (Machinga) tulikuwa na vipande vyetu tuliweka mabanda na wengine meza na biashara zilikuwa zinaendelea. Kufuatia agizo la kutolewa kwenye hifadhi ya barabara na maeneo mengine ambayo sio rafiki tulikubali na kutoa mabanda yetu na maeneo yalibaki wazi.

Cha kushangaza mkuu wa wilaya na wenzako leo mmetoa amri ya watu kurudi kujigawia maeneo na kuendelea na biashara. Hadi muda huu ni mpambano watu wanagombania nafasi na kurudisha mabanda.

Kilichoniuma ni waliokuwa na maeneo wanafika eneo la tukio na kuona mtu ambaye hajawahi kuwa na biashara pale Mbezi Louis amewahi nafasi, hata wapita njia nao wanagombania maeneo.

Mkuu wa wilaya ungetumia japo akili kidogo na kutoa tamko la kueleweka kuwa watu warudi kwenye maeneo yao ya awali sio kusema kila mtu apambanie nafasi(kugombania).

Kutokana na taarifa yako watu hawajawahi kuwa na maeneo wala kuhitaji au kuwa na biashara lakini wanapigania maeneo ili wamiliki.

Maoni yangu: Tusirudishwe tena kufanya biashara barabarani na maeneo mengine ya wazi.
Mimi ni Machinga kutoka Mbezi Louis.
Kiwango cha Elimu: Master of Laws in Procedural Law and International Legal Practice.
Mawasiliano yangu ni PM.
Pole sana. Nimependa bandiko lako.

Fanyeni kazi.
 
Habari JamiiForums.

Leo 08/11/2021 kilichotokea eneo la Mbezi Louis ni kichocheo cha vurugu. Hii inatokana na maamuzi yaliyotolewa na mkuu wa wilaya na viongozi wengine ambao waliongozana kwenye msafara.

Watu (Machinga) tulikuwa na vipande vyetu tuliweka mabanda na wengine meza na biashara zilikuwa zinaendelea. Kufuatia agizo la kutolewa kwenye hifadhi ya barabara na maeneo mengine ambayo sio rafiki tulikubali na kutoa mabanda yetu na maeneo yalibaki wazi.

Cha kushangaza mkuu wa wilaya na wenzako leo mmetoa amri ya watu kurudi kujigawia maeneo na kuendelea na biashara. Hadi muda huu ni mpambano watu wanagombania nafasi na kurudisha mabanda.

Kilichoniuma ni waliokuwa na maeneo wanafika eneo la tukio na kuona mtu ambaye hajawahi kuwa na biashara pale Mbezi Louis amewahi nafasi, hata wapita njia nao wanagombania maeneo.

Mkuu wa wilaya ungetumia japo akili kidogo na kutoa tamko la kueleweka kuwa watu warudi kwenye maeneo yao ya awali sio kusema kila mtu apambanie nafasi(kugombania).

Kutokana na taarifa yako watu hawajawahi kuwa na maeneo wala kuhitaji au kuwa na biashara lakini wanapigania maeneo ili wamiliki.

Maoni yangu: Tusirudishwe tena kufanya biashara barabarani na maeneo mengine ya wazi.
Mimi ni Machinga kutoka Mbezi Louis.
Kiwango cha Elimu: Master of Laws in Procedural Law and International Legal Practice.
Mawasiliano yangu ni PM.
Kama Heri James amefanya Ivo huko Mbezi Luis anatakiwa kutumbuliwa haraka iwezekanavyo.

Nashauri Ndug Amos Makalla Leo aende Mbezi Luis na kutengua hayo maamuzi haraka!

Kama utaratibu ulianza kufuatwa, mtu yeyote anayetoa maamuzi kinyume na Maelekezo ya Mkuu wa nchi ni in kutomuheshimu Mkuu wa nchi na ku sabotage jitihada zake!
 
Anakwamisha juhudi za Rais and Mkuu wa mkoa kwa kupenda cheap popularity hafai kuwa DC kama ni kweli ametoa amri hiyo.
 
Kama Heri James amefanya Ivo huko Mbezi Luis anatakiwa kutumbuliwa haraka iwezekanavyo.

Nashauri Ndug Amos Makalla Leo aende Mbezi Luis na kutengua hayo maamuzi haraka!

Kama utaratibu ulianza kufuatwa, mtu yeyote anayetoa maamuzi kinyume na Maelekezo ya Mkuu wa nchi ni in kutomuheshimu Mkuu wa nchi na ku sabotage jitihada zake!
Chuki zako kwa machinga huwa zinakuifadisha!?
 
Habari JamiiForums.

Leo 08/11/2021 kilichotokea eneo la Mbezi Louis ni kichocheo cha vurugu. Hii inatokana na maamuzi yaliyotolewa na mkuu wa wilaya na viongozi wengine ambao waliongozana kwenye msafara.

Watu (Machinga) tulikuwa na vipande vyetu tuliweka mabanda na wengine meza na biashara zilikuwa zinaendelea. Kufuatia agizo la kutolewa kwenye hifadhi ya barabara na maeneo mengine ambayo sio rafiki tulikubali na kutoa mabanda yetu na maeneo yalibaki wazi.

Cha kushangaza mkuu wa wilaya na wenzako leo mmetoa amri ya watu kurudi kujigawia maeneo na kuendelea na biashara. Hadi muda huu ni mpambano watu wanagombania nafasi na kurudisha mabanda.

Kilichoniuma ni waliokuwa na maeneo wanafika eneo la tukio na kuona mtu ambaye hajawahi kuwa na biashara pale Mbezi Louis amewahi nafasi, hata wapita njia nao wanagombania maeneo.

Mkuu wa wilaya ungetumia japo akili kidogo na kutoa tamko la kueleweka kuwa watu warudi kwenye maeneo yao ya awali sio kusema kila mtu apambanie nafasi(kugombania).

Kutokana na taarifa yako watu hawajawahi kuwa na maeneo wala kuhitaji au kuwa na biashara lakini wanapigania maeneo ili wamiliki.

Maoni yangu: Tusirudishwe tena kufanya biashara barabarani na maeneo mengine ya wazi.
Mimi ni Machinga kutoka Mbezi Louis.
Kiwango cha Elimu: Master of Laws in Procedural Law and International Legal Practice.
Mawasiliano yangu ni PM.
Mkuu tuwekee picha ya matukio tafadhali
 
Mimi ni Machinga kutoka Mbezi Louis.
Kiwango cha Elimu: Master of Laws in Procedural Law and International Legal Practice.
Mkuu Madihani , kwanza pole kwa yote, wewe ni very interesting machinga mwenye LL.M!. As a matter of curiosity, naomba kukuuliza maswali madogo tuu haya 5. Kuna ka research kadogo nataka kukafanya kwa kukutumia wewe.
  1. Ulisoma wapi O level na ulipata Div gani?
  2. Ulisoma wapi A level na ulipa Div gani?
  3. LL.B yako ni ya chuo gani na GPA yako ya LL.B ni ngapi?
  4. Umefanya LL.M yako chuo gani?.
  5. Apart from umachinga what else do you do?.
P
 
Maswali personal sana, unataka akujibu hapa?
Mkuu Madihani , kwanza pole kwa yote, wewe ni very interesting machinga mwenye LL.M!. As a matter of curiosity, naomba kukuuliza maswali madogo tuu haya 5. Kuna ka research kadogo nataka kukafanya kwa kukutumia wewe.
  1. Ulisoma wapi O level na ulipata Div gani?
  2. Ulisoma wapi A level na ulipa Div gani?
  3. LL.B yako ni ya chuo gani na GPA yako ya LL.B ni ngapi?
  4. Umefanya LL.M yako chuo gani?.
  5. Apart from umachinga what else do you do?.
P
 
Habari JamiiForums.

Leo 08/11/2021 kilichotokea eneo la Mbezi Louis ni kichocheo cha vurugu. Hii inatokana na maamuzi yaliyotolewa na mkuu wa wilaya na viongozi wengine ambao waliongozana kwenye msafara.

Watu (Machinga) tulikuwa na vipande vyetu tuliweka mabanda na wengine meza na biashara zilikuwa zinaendelea. Kufuatia agizo la kutolewa kwenye hifadhi ya barabara na maeneo mengine ambayo sio rafiki tulikubali na kutoa mabanda yetu na maeneo yalibaki wazi.

Cha kushangaza mkuu wa wilaya na wenzako leo mmetoa amri ya watu kurudi kujigawia maeneo na kuendelea na biashara. Hadi muda huu ni mpambano watu wanagombania nafasi na kurudisha mabanda.

Kilichoniuma ni waliokuwa na maeneo wanafika eneo la tukio na kuona mtu ambaye hajawahi kuwa na biashara pale Mbezi Louis amewahi nafasi, hata wapita njia nao wanagombania maeneo.

Mkuu wa wilaya ungetumia japo akili kidogo na kutoa tamko la kueleweka kuwa watu warudi kwenye maeneo yao ya awali sio kusema kila mtu apambanie nafasi(kugombania).

Kutokana na taarifa yako watu hawajawahi kuwa na maeneo wala kuhitaji au kuwa na biashara lakini wanapigania maeneo ili wamiliki.

Maoni yangu: Tusirudishwe tena kufanya biashara barabarani na maeneo mengine ya wazi.
Mimi ni Machinga kutoka Mbezi Louis.
Kiwango cha Elimu: Master of Laws in Procedural Law and International Legal Practice.
Mawasiliano yangu ni PM.
Hata wewe mwanzoni hukuwa unamiliki, hivo kwa hoja yako ikisomwa pamoja bila kuathiri maamuzi ya mkuu wa mkoa ni bora tukasema aliyewahi kawahi
 
Binafsi nakaa Mbezi Louis, ila alichofanya huyu DC ni sawa na kupingana na maagizo ya RC,Hapa inatakiwa RC kumshtaki huyu DC kwa Raisi ili Raisi amwondoe kabisa kwani Mbezi ilishapendeza
 
Back
Top Bottom