Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,465
- 45,754
Tena wapande na bustani kabisa na viti vya kupumzika
Panafaa kuwa na Miti mingi hapo
Sio uzio tu wamepanda na miti Jana,sema wamachinga hawasikii aise Ile saa mbili usiku nimepita yani walishajazana kama wote. Pale patawasumbua labda kifanyike kitu ambacho kitakuwa funzo.
Mimi Niko maji Moto katavi kwani simenti imepanda bei mjini tu,huu umeme unao katikakatika unafikiri unakatika mjini tu? Matatizo yapo kote,bei za mafuta zimepandà kote tangu JPM afariki Bila hata bei za dunia hazija panda tunasubiri zipande ndiyo tujue lakufanya,huko handeni petroli Lita shilingi ngapi?,mkuranga kwenyewe umeme haukatiki? Hao waliomzunguka mama awaangalie huenda Wana mission tofauti na yeye.Nchi ina furusa nyingi sana sema tunataka kukaa Mjini tu. Nendeni Handeni watu wanalima sana, nenda Mkuranga uone matikiti yanavyolimwa.
TATIZO NIKUTAKA UJIKO KUWA UNAISHI DAR
Jifunze somo la comparison on ratio basis.Habari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.
1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541
View attachment 2033542
View attachment 2033544
View attachment 2033545
View attachment 2033547
View attachment 2033549
Una magufuli fever wewe....Mbezi imeanza kujengwa kipindi cha jk....magufuli kaja kufanya uchafuzi wa kujaza machinga kila sehem,samia lazma apewe sifa kwa kuweza kusafisha jijiKazi afanye Magufuli sifa apewe Samia ,pathetic,idiots!,endeleeni kujifariji,mambo bado,
Kuna wajinga huku kwetu wanalaza nje hivyo vigari kwa kukwepa kulipa buku jero tu,nawaangalia tu!!Jiandae kununua vifaa vya IST yako tuko mbioni kukufikia hapo kwako😅
Mtu atapoamka na kukuta hakipo ndio atajua hajui😅 maana sahizi wanaviiba jumla hawachukui vifaa tena 😅Kuna wajinga huku kwetu wanalaza nje hivyo vigari kwa kukwepa kulipa buku jero tu,nawaangalia tu!!
Ur not serious,huwezi kuielezea Awamu ya jiwe Maghu kwa kapicha kamoja!Habari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.
1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541
View attachment 2033542
View attachment 2033544
View attachment 2033545
View attachment 2033547
View attachment 2033549
75% ya wamiliki wa vile vibaby walker ndio gari zao za mwanjo mwanjo kumiliki,basi wanaviona kama wanamiliki v8 vile kwa ujuajiMtu atapoamka na kukuta hakipo ndio atajua hajui😅 maana sahizi wanaviiba jumla hawachukui vifaa tena 😅
Hahahaha huwaambii kitu road honi za scania ni pwooohhh75% ya wamiliki wa vile vibaby walker ndio gari zao za mwanjo mwanjo kumiliki,basi wanaviona kama wanamiliki v8 vile kwa ujuaji
Wanasumbua balaa,akishapelekewa d/licence nyumbani basi akienda posta na kurudi mara 2 tu akidrive mwenyewe safari ya 3 anaanza kuchomekea na kuleta ligi za ajabu ajabu barabarani,juzi kati nikakiona ka1 kaleta ligi na daladala pale kimara korogwe,daladala akamuwekea ngao ikawa kwisha habari yake,vigari visumbufu road kinoma hasa uvikute hivi vyenye namba dt,dr,dp,dv,du,vinakera!Hahahaha huwaambii kitu road honi za scania ni pwooohhh
Vipya vipya na madereva wapya 😅Wanasumbua balaa,akishapelekewa d/licence nyumbani basi akienda posta na kurudi mara 2 tu akidrive mwenyewe safari ya 3 anaanza kuchomekea na kuleta ligi za ajabu ajabu barabarani,juzi kati nikakiona ka1 kaleta ligi na daladala pale kimara korogwe,daladala akamuwekea ngao ikawa kwisha habari yake,vigari visumbufu road kinoma hasa uvikute hivi vyenye namba dt,dr,dp,dv,du,vinakera!
Noma hivyo babu,afadhali vile vya zamani wenyewe wanakua washajua jua magari so ulimbukeni unakua unawatokaVipya vipya na madereva wapya 😅
Sina chuki yoyote yakisiasa, mim nimkazi wa mbezi Luis kwa miaka 10 Sasa namiaka 6 iliopita niliwahikua nabiashara maeneo yale nikiwa ndonimetoka chuo TIA, Hela yangu yakwanza kabisa niliitengeneza nikifanya biashara maeneo yale. Hata mtoto wangu kwanza nilimpata nikiwa pale. Sijui ningekua wapi Leo kma nisingepatia mtaji pale.Zile siyo ajira, bali ni upuuzi. Jamii iliyostaarabika haiwezi kukubali kuishi vile, Muhimu wapangwe sehemu mpya na ambazo zina huduma walizoahidiwa ili wananchi wawafuate huko. Wenye chuki na awamu ya 6 mlichotamani kitokee kwa vijana wale kufanya vurugu hakijatokea, mnabaki kuongea ongea ujinga kwa aibu kubwa.