Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
We nyau huoni nakuita au?
Ukizipandisha utazishushaaaa?
We nyau huoni nakuita au?
Hahahhahahahaha nimecheka sana haka kapichaView attachment 715884 nginjanginja
Extrovert umewaza sana maana hata tai tungekuwa tunavaa unaingia saa 12 na nusu Asubuhi unapanda level seat unatembea zako sio huu ujinga wa mwendokasi hata vyuma vya maana havipandi tena.Serikali hii ilivyo ya kipuuzi wangeruhusu coaster zenye ubora zile private ziingie zibebe level seat hata kwa elfu moja tu kila trip kwa huo mzunguko wa mbezi mwisho mpaka kivukoni na kutumia hio track ya mwendokasi kisha wakawa wanailipia hata buku kila trip ya matumizi wangeingiza hela kibao na hio shida ya magari isingekuwepo hata watu wengi wangepunguza kuenda na magari mjini maana usafiri ni uhakika! Na serikali isimamie kwamba ni level seat abiria atakaesimama ashushwe na atalipa fine ya elfu 30 on the spot!
Haya ndio mambo ya kufikiria kwenye kupanua wigo wa mapato sio kulazimisha watu walipe hela kwa kulimbikiza matozo kwenye simu!
Na hao mwendokasi akili zingewakaa sawa kabisa! Maana kila gari ikiingia ni level seat buku inatembea! Wao wabaki na kupaki mabasi yao kwa sababu za kijinga tu! Watu wanateseka sana during the rush hours gari chache ila mida hio coaster zingekuwa na kibali tu zibebe kwa mchango wa buku kila trip! Anzia saa 9-2 jioni abiria wangekuwa ni bata tu! Unalipa buku kivukoni to mbezi mko level seat hamna ambaye asingetoa na hata hayo mamwendokasi hamna mtu angehangaika nayo!
Yeah mkuu, hatuna watu wenye vichwa vya kufikiria kwa upana! Watu wapo ili kula mishahara na posho!Extrovert umewaza sana maana hata tai tungekuwa tunavaa unaingia saa 12 na nusu Asubuhi unapanda level seat unatembea zako sio huu ujinga wa mwendokasi hata vyuma vya maana havipandi tena.
Sijawahi kuona hata siku moja mkurugenzi wa Mwendokasi anaenda kutembelea vituo na kujionea kero yeye kakaa kimya tu ofisini.Yeah mkuu, hatuna watu wenye vichwa vya kufikiria kwa upana
Analipwa zake hela nzuri ahangaike na kero zenu za nnSijawahi kuona hata siku moja mkurugenzi wa Mwendokasi anaenda kutembelea vituo na kujionea kero yeye kakaa kimya tu ofisini.
Watakwambia kuna "mgongano wa kimaslahi" mi najuaSerikali hii ilivyo ya kipuuzi wangeruhusu coaster zenye ubora zile private ziingie zibebe level seat hata kwa elfu moja tu kila trip kwa huo mzunguko wa mbezi mwisho mpaka kivukoni na kutumia hio track ya mwendokasi kisha wakawa wanailipia hata buku kila trip ya matumizi wangeingiza hela kibao na hio shida ya magari isingekuwepo hata watu wengi wangepunguza kuenda na magari mjini maana usafiri ni uhakika! Na serikali isimamie kwamba ni level seat abiria atakaesimama ashushwe na atalipa fine ya elfu 30 on the spot!
Haya ndio mambo ya kufikiria kwenye kupanua wigo wa mapato sio kulazimisha watu walipe hela kwa kulimbikiza matozo kwenye simu!
Na hao mwendokasi akili zingewakaa sawa kabisa! Maana kila gari ikiingia ni level seat buku inatembea! Wao wabaki na kupaki mabasi yao kwa sababu za kijinga tu! Watu wanateseka sana during the rush hours gari chache ila mida hio coaster zingekuwa na kibali tu zibebe kwa mchango wa buku kila trip! Anzia saa 9-2 jioni abiria wangekuwa ni bata tu! Unalipa buku kivukoni to mbezi mko level seat hamna ambaye asingetoa na hata hayo mamwendokasi hamna mtu angehangaika nayo!