Katika fedha za makato ya simu, sisi Mbeya tumepokea shilingi bilioni 1 kwa ajili ya vituo vyetu vya afya vinne ambavyo ni kule Chunya tarafa ya Kipembawe, Unyakyusa, Utagano na Mbeya DC pia tumepata kimoja kwahiyo ni ahueni kubwa kwetu."
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera.