It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Mbeya yachafuka mabomu na risasi zarindima kutawanya watu. Mitaa ya Mafyati, Mwanjelwa , Airport hadi soweto vurugu tupu. Vijana wasubir Mr.2 (sugu) kutangazwa mshind wa Ubunge mbeya mjin
mpaka hivi sasa niko ndani TIA ila bado haki eleweki bado wanaesabu kura