Mbeya: Waziri mkuu Majaliwa aweka jiwe la msingi Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Leo tarehe 30/11/2021 waziri mkuu wa Tanzania kassimu Majaliwa ameweka jiwe la msingi katika eneo jipya kilipo jengwa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE).

Chuo hicho chenye matawi manne kilifungua tawi lake la nne katika jiji la Mbeya mnamo Mwaka 2013.

Katika kipindi chote hicho CBE walikuwa wakitumia majengo Ambayo walikuwa wameoanga, awali walitumia majengo ya chuo kikuu huria (OUT) Maeneo ya Forest ya zamani na baadae wakahamia Uzunguni B karibu na jengo la Lift valley hotel.

Lakini kipindi chote hicho CBE walikuwa wakijenga majengo yao Binafsi katika kata ya Iganzo.

Hivyo leo Waziri mkuu Majaliwa ameweka jiwe la msingi katika eneo jipya la chuo cha CBE katika kata ya Iganzo. Chuo hicho kinatarajia kuanza kutumia eneo hilo jipya la Iganzo ifikapo mwanzoni mwa Mwezi February au January mwaka 2022

Wageni wengine walio fika katika uwekaji jiwe hilo la msingi ni Naibu spika Dkt. Tulia Ackson ambae ndio mlezi wa chuo hicho Tawi la Mbeya.

Pia waziri mkuu amesema atatoa eneo lenye Ekari 100 katika mkoa wa Lindi ili kujenga kampasi nyingine mkoani hapo.

Pia unaweza soma Historia ya College of Business Education (CBE)
 
Leo tarehe 30/11/2021 waziri mkuu wa Tanzania kassimu Majaliwa ameweka jiwe la msingi katika eneo jipya kilipo jengwa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE).

Chuo hicho chenye matawi manne kilifungua tawi lake la nne katika jiji la Mbeya mnamo Mwaka 2013.

Katika kipindi chote hicho CBE walikuwa wakitumia majengo Ambayo walikuwa wameoanga, awali walitumia majengo ya chuo kikuu huria (OUT) Maeneo ya Forest ya zamani na baadae wakahamia Uzunguni B karibu na jengo la Lift valley hotel.

Lakini kipindi chote hicho CBE walikuwa wakijenga majengo yao Binafsi katika kata ya Iganzo.

Hivyo leo Waziri mkuu Majaliwa ameweka jiwe la msingi katika eneo jipya la chuo cha CBE katika kata ya Iganzo. Chuo hicho kinatarajia kuanza kutumia eneo hilo jipya la Iganzo ifikapo mwanzoni mwa Mwezi February au January mwaka 2022

Wageni wengine walio fika katika uwekaji jiwe hilo la msingi ni Naibu spika Dkt. Tulia Ackson ambae ndio mlezi wa chuo hicho Tawi la Mbeya.

Pia waziri mkuu amesema atatoa eneo lenye Ekari 100 katika mkoa wa Lindi ili kujenga kampasi nyingine mkoani hapo.

Pia unaweza soma Historia ya College of Business Education (CBE)
WAZIRI MKUU ANGALIA UFISADI HUU KNCU



Nakuandikia Waziri Mkuu Majaliwa kwa vile najua umekuwa mstari wa mbele kutetea mali za ushirika na moja wapo ni chama kikuu cha ushirika kilimanjaro kncu



Pamoja na juhudi zako zilizopelekea kurudishwa kwa mali za KNCU, leo hii wameanza tena kurudia madudu yale yale yaliyopelekea mali hizo kuuzwa jambo ambalo linaonyesha dharau kubwa kwa na serikali wka jumla



Kuanzia wiki iliyopita uongozi wa KNCU chini ya mwenyekiti wake Mushi na kaimu meneja wa fedha lyimo wameanza kazi ya kutaka kukodisha mgawaha wa kimataifa unaomilkiwa na KNCU kwa mwekezaji binafsi hata bila kushirikisha uongozi wa chama hicho na kupitishwa na mkutano mkuu



Tayari viongozi hao wameanza mchakato kwa kushirikiana na mtu anaetarajiwa kukodishiwa mgahawa huo amapo watu wawili hao wameshachukau kinyume cha sheria shilingi milioni 10 ili zitumike kuwanunua wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho ili wapitishe azimio la kukodisha hoteli hiyo



Waziri Mkuu ulisema hakuna mali za ushirika zitauzwa tena au zitachezewa lakini hapa tayari kuna kila dalili KNCU itarudi kuel ulikoitoa. Maana waliingia mkataba wa namna hiyo na matoeko yake mwekezji aliekodishiwa hoteli ya KNCU aliishia kuchukau shamba la KNCU kama fidia ya kukiukwa mkataba mpaka ulipolazimisha shamba hilo lirudishwe



Ni LYIMO HUYO HUYO AMBAYE AMEKODISHA ENEO LA KNCU NA KUFUNGUA BIASHARA YA KUOSHA MAGARI HUKU AKILIPA FEDHA KIDOGO KWA VIEL ANAZUIA WATU WENGIEN WASIKODISHIWE NA AMBAO WANGELIPA FEDHA NYINGI ZAIDI



NI LYIMO HUYO AMBAYE AMEKODISHA ENEO LA KNCU KWA MWEKEZAJI ALIEWEKEZA BISHARA YA SUPA MAKETI HUKU AKILIPWA FEDHA ZA RUSHWA SHILINGI MILIONI 20 NA KULETA TAFIRANI KUBWA KATI AYKE NA MADALALI AMBAO ALIDAIWA KUWARUSHA FEDHA HIZO ZA KUKODI ENEO HILO



NI LYIMO HUYO AMBAYE AMETUMIA MAKATO YA NSSF YA WAFANYA KAZI WA KNCU BILA KUYAWASILISAH NSSF KWA ZAIDI YA MIAKA 4 SASA KWA VIEL ANAZITUMIA KWENYE BIASHARA ZAKE, MWENYEKITI KNCU ANAJUA, VIONGOZI NSSF WANAJUA NA WAFNYAKAZI HAO WAMEAMUA KUACHA KAZI BILA KUJUA HATMA YA MAFAO YAO NSSF



LYIMO HUYO HUYO AMENAZA KAMPENI YA KUWASHAWISHI BAADHI AY WAFANYAKAZI WA MGAHAWA WA KNCU WASEME HAUNA FAIDA YOYOTE ILI KUHALALISHA KUUKODISHA KWA MALIPO YA MILIONI 20 YEYE NA MWENYEKITI WAKE AMBAPO TAYARIW ASHACHUKAU MILIONI 10, WAZIRI MKUU HII NI DHARU KWAKO NA SERIKALI NA WANACHAMA WA KNCU



WANAUSHIRIKA KILIMANJARO
 
WAZIRI MKUU ANGALIA UFISADI HUU KNCU



Nakuandikia Waziri Mkuu Majaliwa kwa vile najua umekuwa mstari wa mbele kutetea mali za ushirika na moja wapo ni chama kikuu cha ushirika kilimanjaro kncu



Pamoja na juhudi zako zilizopelekea kurudishwa kwa mali za KNCU, leo hii wameanza tena kurudia madudu yale yale yaliyopelekea mali hizo kuuzwa jambo ambalo linaonyesha dharau kubwa kwa na serikali wka jumla



Kuanzia wiki iliyopita uongozi wa KNCU chini ya mwenyekiti wake Mushi na kaimu meneja wa fedha lyimo wameanza kazi ya kutaka kukodisha mgawaha wa kimataifa unaomilkiwa na KNCU kwa mwekezaji binafsi hata bila kushirikisha uongozi wa chama hicho na kupitishwa na mkutano mkuu



Tayari viongozi hao wameanza mchakato kwa kushirikiana na mtu anaetarajiwa kukodishiwa mgahawa huo amapo watu wawili hao wameshachukau kinyume cha sheria shilingi milioni 10 ili zitumike kuwanunua wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho ili wapitishe azimio la kukodisha hoteli hiyo



Waziri Mkuu ulisema hakuna mali za ushirika zitauzwa tena au zitachezewa lakini hapa tayari kuna kila dalili KNCU itarudi kuel ulikoitoa. Maana waliingia mkataba wa namna hiyo na matoeko yake mwekezji aliekodishiwa hoteli ya KNCU aliishia kuchukau shamba la KNCU kama fidia ya kukiukwa mkataba mpaka ulipolazimisha shamba hilo lirudishwe



Ni LYIMO HUYO HUYO AMBAYE AMEKODISHA ENEO LA KNCU NA KUFUNGUA BIASHARA YA KUOSHA MAGARI HUKU AKILIPA FEDHA KIDOGO KWA VIEL ANAZUIA WATU WENGIEN WASIKODISHIWE NA AMBAO WANGELIPA FEDHA NYINGI ZAIDI



NI LYIMO HUYO AMBAYE AMEKODISHA ENEO LA KNCU KWA MWEKEZAJI ALIEWEKEZA BISHARA YA SUPA MAKETI HUKU AKILIPWA FEDHA ZA RUSHWA SHILINGI MILIONI 20 NA KULETA TAFIRANI KUBWA KATI AYKE NA MADALALI AMBAO ALIDAIWA KUWARUSHA FEDHA HIZO ZA KUKODI ENEO HILO



NI LYIMO HUYO AMBAYE AMETUMIA MAKATO YA NSSF YA WAFANYA KAZI WA KNCU BILA KUYAWASILISAH NSSF KWA ZAIDI YA MIAKA 4 SASA KWA VIEL ANAZITUMIA KWENYE BIASHARA ZAKE, MWENYEKITI KNCU ANAJUA, VIONGOZI NSSF WANAJUA NA WAFNYAKAZI HAO WAMEAMUA KUACHA KAZI BILA KUJUA HATMA YA MAFAO YAO NSSF



LYIMO HUYO HUYO AMENAZA KAMPENI YA KUWASHAWISHI BAADHI AY WAFANYAKAZI WA MGAHAWA WA KNCU WASEME HAUNA FAIDA YOYOTE ILI KUHALALISHA KUUKODISHA KWA MALIPO YA MILIONI 20 YEYE NA MWENYEKITI WAKE AMBAPO TAYARIW ASHACHUKAU MILIONI 10, WAZIRI MKUU HII NI DHARU KWAKO NA SERIKALI NA WANACHAMA WA KNCU



WANAUSHIRIKA KILIMANJARO
Amesikia mheshimiwa
 
Leo tarehe 30/11/2021 waziri mkuu wa Tanzania kassimu Majaliwa ameweka jiwe la msingi katika eneo jipya kilipo jengwa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE).

Chuo hicho chenye matawi manne kilifungua tawi lake la nne katika jiji la Mbeya mnamo Mwaka 2013.

Katika kipindi chote hicho CBE walikuwa wakitumia majengo Ambayo walikuwa wameoanga, awali walitumia majengo ya chuo kikuu huria (OUT) Maeneo ya Forest ya zamani na baadae wakahamia Uzunguni B karibu na jengo la Lift valley hotel.

Lakini kipindi chote hicho CBE walikuwa wakijenga majengo yao Binafsi katika kata ya Iganzo.

Hivyo leo Waziri mkuu Majaliwa ameweka jiwe la msingi katika eneo jipya la chuo cha CBE katika kata ya Iganzo. Chuo hicho kinatarajia kuanza kutumia eneo hilo jipya la Iganzo ifikapo mwanzoni mwa Mwezi February au January mwaka 2022

Wageni wengine walio fika katika uwekaji jiwe hilo la msingi ni Naibu spika Dkt. Tulia Ackson ambae ndio mlezi wa chuo hicho Tawi la Mbeya.

Pia waziri mkuu amesema atatoa eneo lenye Ekari 100 katika mkoa wa Lindi ili kujenga kampasi nyingine mkoani hapo.

Pia unaweza soma Historia ya College of Business Education (CBE)
Habari kavu kabisa kama vile tupo kipindi cha kupiga picha kwa film za conica na kodak
 
Back
Top Bottom