Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,889
- 939
MBEYA VIJIJINI - MBEYA SIKU YA PILI
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi akizungumza katika Kikao Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya ambapo alizungumza na wanachama katika Shina namba 1, pamoja na kuzindua shina la wakereketwa pia kukagua mradi wa maji uliogharimu Tsh Bilioni 3.5 pamoja na Kukagua madarasa.
KaziInaendelea
Chama Imara Serikali Imara
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi akizungumza katika Kikao Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya ambapo alizungumza na wanachama katika Shina namba 1, pamoja na kuzindua shina la wakereketwa pia kukagua mradi wa maji uliogharimu Tsh Bilioni 3.5 pamoja na Kukagua madarasa.
KaziInaendelea
Chama Imara Serikali Imara