figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Wanafunzi 22 wa shule ya msingi MANIENGA katika wilaya ya MBARALI mkoani MBEYA wamekumbwa na ugonjwa wa ajabu wa kuanguka na kupoteza fahamu kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Akizungumza na TBC Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi MANIENGA, TUMAINI MPANDE amesema kufuatia hatua hiyo ya kuugua kwa wanafunzi hao shule hiyo imefungwa hadi Oktoba 10 mwaka huu ili kupisha uchunguzi
Wanafunzi hao wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya MBARALI mkoani MBEYA ambako wanaendelea na matibabu huku madaktari wakiendelea na uchunguzi zaidi ili kubaini chanzo cha tatizo hilo.
Akizungumza na TBC Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi MANIENGA, TUMAINI MPANDE amesema kufuatia hatua hiyo ya kuugua kwa wanafunzi hao shule hiyo imefungwa hadi Oktoba 10 mwaka huu ili kupisha uchunguzi
Wanafunzi hao wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya MBARALI mkoani MBEYA ambako wanaendelea na matibabu huku madaktari wakiendelea na uchunguzi zaidi ili kubaini chanzo cha tatizo hilo.