Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Hapo tupo sawa na Brazil tunifukuzia USA kwa Sasa
Heko kwa Rais Magufuli
Heko kwa Rais Magufuli
Hivi nchi inapo kuwa imeingia kwenye uchumi wa kati kama ilivyo ingia Tanzania yetu ndio inakuwaje yaani? Ni nchi gani za mabeberu tunakuwa tunalingana nazo hapo yaani hapo? Cc Kawe Alumni