Sana..itapendeza kuliko kawaida. Sema mji wetu haujapangiliwa kabisa yaani. Walifanikiwa pale forest mpya tu ndio waliwahi kuchonga barabara kabla watu hawajaanza kujenga..ndio maana palitangulia kuwa pazuri..lakini huku kwetu makazi kila mtu kauziwa kiholela na kumejengwa hivyo hivyo hakuna njia pana za kupita aiseunaonaje siku moja Serikali ikatwaa maeneo yote kuanzia soko matola, ghana, Nonde na majengo. tena nyumba zile fidia yake itakuwa ndogo sana, halafu serikali ijenge apartments au hata condominiums za kuuza kwa raia, zijengwe kwa mpangilio na waweke na gardens pawe kijani kama ilivyo mbeya yetu (green city), naamini watu wengi watanunua au watapanga kwasababu maeneo hayo ni karibu na city centre na ni rahisi kufika kabwe/mwanjelwa/sido etc. I can't wait ifike December niende zangu Rungwe chrismass!