Mbeya: Ofisa Usalama auawa kinyama!

Status
Not open for further replies.

Sabato masalia

JF-Expert Member
Oct 16, 2011
228
134
MMOJA wa wasisi wa idara ya usalama wa taifa enzi za ukurugenzi wa hayati Emil Mzena, mzee Joseph Mwasokwa ameuawa kwa kuchinjwa usiku wa kuamkia leo jijini Mbeya.

Chanzo hakijajulikana.

Hayati mzee Mwasokwa atakumbukwa kwa uchapa kazi wake mahiri, wakati huo akiwa na akina mzee Kayugwa, mzee kiliwa mzee Adam Kilumbi, Mzee Shekalage, Mzee Lymo, Marehemu Amir Koyamba, Mzee Kashinde, Mzee Kisesa, Mzee Said Mawele, marehemu Mzee Mahmood Issa, marehemu mzee Ijagala, Mzee Bwimbo [upande wa PSU], mzee Kalumanga NA WENGINE WENGI.

BWANA AMETOA BWANA AMETWAA

*************
More details:

- Mwili wa marehemu ulikutwa getini kwake, maeneo ya Block T jijini Mbeya.
- Marehemu alikuwa ameenda jirani kuangalia mechi ya mpira
- Marehemu alikutwa na $200 na TShs 100,000 hivi na vitu kama saa, simu n.k ambavyo havikuchukuliwa
- Hakuna uhakika kama aliuliwa palepale getini kwake au aliuawa mbali na mwili kutupwa getini kwake

Habari imeandikwa kwa kirefu zaidi hapa - Ofisa Usalama wa Taifa auwawa kwa kuchinjwa kinyama Mbeya | Fikra Pevu
 
RIP baba,Tulikupenda Mungu amekupenda zaidi.
Huu pia ni msiba mkubwa kwa klabu ya Yanga,alikuwa ni mshauri mwema kwa wanajangwani.
 
we Sabato kiboko!hiyo timu uliyoitaja ni kali haapo naona mzee Apson alikuwa hajaingia bado, nakumbuka Apson,RO walikuja wakati wa ukurugenzi wa mzee Gama, mzee huyo anajulikana kwa kazi alikuwa anaijua vyema, sijui tatizo walilomuulia ni nini? alale pema peponi
 
Hayati mzee Mwasokwa atakumbukwa kwa uchapa kazi wake mahiri, wakati huo akiwa na akina mzee Kayugwa, mzee kiliwa mzee Adam Kilumbi, Mzee Shekalage, Mzee Lymo, Marehemu Amir Koyamba, Mzee Kashinde, Mzee Kisesa, Mzee Said Mawele, marehemu Mzee Mahmood Issa, marehemu mzee Ijagala, Mzee Bwimbo [upande wa PSU], mzee Kalumanga NA WENGINE WENGI.

kaka hapo kwa mzee Bwimbo unamaanisha yule Ndugu Kajanja? kama ni yeye ni PM mkuu.
 
Hili la kuwawa na usalama wa taifa wenzake kama litakuwa na ukweli, kwa kuisaidia CHADEMA ni kombora la kuendelea kuishindilia

ccm shimoni wala hakuna kupumua. Itawaumiza sana wakaazi wa mbeya. Tusubili kama ni za uhakika habari hizi.

Mwandosya

Mwakyembe

Mwangosi

Mwasokwa

Mwaikusa
.
.
.
Hapa kunakupona kweli ccm 2015
 
Hakuna mtu baki mwenye kufanya hayo ila ni wenyewe kwa wenyewe. System imegawanyika na wanapomtuhumu mwenzao kuvujisha siri basi njia nyingine huwa nguvu kutumika kwa vile yupo kwenye system, kinachofanyika ni kikundi kidogo kinachoandaliwa kumaliza kwa njia za ujasusi wa kijambazi, ndivyo hawa jamaa walivyo.

Angekuwa mtu wa kawaida propaganda zingetumika kumchafua hadi aharibikiwe mambo yake na inaposhindikana propaganda ni rushwa kutumika kwa kuhonga ili kukamilisha azima yao. Kwa huyo yote yameshindikana na kuamua kuchukua njia ya ujasusi wa kijambazi.
 
Hili la kuwawa na usalama wa taifa wenzake kama litakuwa na ukweli, kwa kuisaidia CHADEMA ni kombora la kuendelea kuishindilia

ccm shimoni wala hakuna kupumua. Itawaumiza sana wakaazi wa mbeya. Tusubili kama ni za uhakika habari hizi.

Mwandosya

Mwakyembe

Mwangosi

Mwasokwa
.
.
.
Hapa kunakupona kweli ccm 2015


Ulimboka,
Mwaikambo,
Juani Mwaikusa n.k.
Hawa woote si bahati mbaya!
 
Hawa woote si bahati mbaya!
Mwandosya

Mwakyembe

Mwangosi

Mwasokwa

.
Ulimboka,

Mwaikambo,

Juani Mwaikusa n.k.

.
.
.
.

Kuna haja na kuangalia kwa makini hasa mikowa ya Arusha, mwanza, kilimanjro, Mara na mbeya yenyenye kunamdudu mtu nini?

Au ni ajali za kijambazi za kawaida?
 
Habari hizi zinanikumbusha kifo cha Prof. Jwani Mwaikusa mwezi Julai 2010. Ni huzuni
 
Mkuu asante kwa taarifa. Hii habari ya kusikitisha. Alikuwa mzee poa sana na really easy goin. Tunaelekea mahala pabaya sana kama mtu anaweza chinjwa tena nyumbani kwake, Tanzania yenye amani inaelekea kuwa historia soon.

R.I.P Mzee Mwasokwa. Ulikuwa moja ya wazee nawakubali sana kwa ucheshi na utashi wako.
 
TISS Again @ Work......Umesahau Imrani Kombe alivyouawawa? Unganisha Dots.....

Heshima yako mkuu, hawa jamaa walikuwa moto wa kuotea mbali enzi zao - sina shaka waliacha wamewafundisha wenzao mbinu za kazi zao kabla hawaja staafu.

Hila hili la mzee (R.I.P) wa watu kuuawawa kinyama nafikili ni mambo ya huko huko Mbeya, TISS haiwezi kuwa inahusika na kitu kama hicho.
 
Kwa hiyo aliyeanzisha TISS ni mtu wa Mbeya na Mnyakyusa

na DG wa usalama aliyeondoka naye ni Mtu wa Mbeya na Mnyakyusa

wote wanatoka sehemu moja, dini moja, kabila moja

je tunaweza kujua TISS imegawanyinya namna hiyo? yaani dini moja, eneo moja? na hapa sizungumzii watu wa chini nazungumzia rank za juu.

kama ni kweli bas itabidi wapelekewe somo la diversity.

RIP
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom