Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
MMOJA wa wasisi wa idara ya usalama wa taifa enzi za ukurugenzi wa hayati Emil Mzena, mzee Joseph Mwasokwa ameuawa kwa kuchinjwa usiku wa kuamkia leo jijini Mbeya.
Chanzo hakijajulikana.
Hayati mzee Mwasokwa atakumbukwa kwa uchapa kazi wake mahiri, wakati huo akiwa na akina mzee Kayugwa, mzee kiliwa mzee Adam Kilumbi, Mzee Shekalage, Mzee Lymo, Marehemu Amir Koyamba, Mzee Kashinde, Mzee Kisesa, Mzee Said Mawele, marehemu Mzee Mahmood Issa, marehemu mzee Ijagala, Mzee Bwimbo [upande wa PSU], mzee Kalumanga NA WENGINE WENGI.
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA
*************
More details:
- Mwili wa marehemu ulikutwa getini kwake, maeneo ya Block T jijini Mbeya.
- Marehemu alikuwa ameenda jirani kuangalia mechi ya mpira
- Marehemu alikutwa na $200 na TShs 100,000 hivi na vitu kama saa, simu n.k ambavyo havikuchukuliwa
- Hakuna uhakika kama aliuliwa palepale getini kwake au aliuawa mbali na mwili kutupwa getini kwake
Habari imeandikwa kwa kirefu zaidi hapa - Ofisa Usalama wa Taifa auwawa kwa kuchinjwa kinyama Mbeya | Fikra Pevu
Chanzo hakijajulikana.
Hayati mzee Mwasokwa atakumbukwa kwa uchapa kazi wake mahiri, wakati huo akiwa na akina mzee Kayugwa, mzee kiliwa mzee Adam Kilumbi, Mzee Shekalage, Mzee Lymo, Marehemu Amir Koyamba, Mzee Kashinde, Mzee Kisesa, Mzee Said Mawele, marehemu Mzee Mahmood Issa, marehemu mzee Ijagala, Mzee Bwimbo [upande wa PSU], mzee Kalumanga NA WENGINE WENGI.
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA
*************
More details:
- Mwili wa marehemu ulikutwa getini kwake, maeneo ya Block T jijini Mbeya.
- Marehemu alikuwa ameenda jirani kuangalia mechi ya mpira
- Marehemu alikutwa na $200 na TShs 100,000 hivi na vitu kama saa, simu n.k ambavyo havikuchukuliwa
- Hakuna uhakika kama aliuliwa palepale getini kwake au aliuawa mbali na mwili kutupwa getini kwake
Habari imeandikwa kwa kirefu zaidi hapa - Ofisa Usalama wa Taifa auwawa kwa kuchinjwa kinyama Mbeya | Fikra Pevu