Mbeya na Kilimanjaro: Siri ya mafanikio yao ni nini?

BondJamesBond, Awadhi2009, Pasco, Mchambuzi, Nguruvi3,

..nadhani "ujanja" wao unatokana na kilimo cha zao la KAHAWA.

..mapato ya kahawa yaliwawezesha kuwekeza ktk elimu za watoto wao, kujipenyeza ktk biashara ndogo ndogo na baadaye kuwa wafanyabiashara wakubwa.

..kumbukeni kwamba ndugu zetu toka Kilimanjaro ndiyo walikuwa wakwanza kufanya "umachinga"[miaka hiyo ilikuwa ku-shine viatu na kuuza kahawa] mijini baada ya sekta ya kahawa kupata matatizo miaka ya 80.

..kingine kinachowasaidia ndugu zetu wa Kilimanjaro ni biashara/magendo ya mpakani na majirani zetu wa Kenya.

..tuimarishe KOROSHO, PAMBA, etc mtaona wenyeji wa maeneo maarufu kwa mazao hayo nao wanaibuka na kuleta ushindani nchini, which is a very positive thing.

Nadhani pia historia inaonyesha kwamba mkoloni alipendelea zaidi maeneo hayo kutokana na hali ya hewa lakini zaidi fertile soil kwa mazao ya biashara; matokeo yake zikajengwa shule nyingi za mission na miundo mbinu mingine muhimu for human capital development tofauti na sehemu nyingine nyingi;
 
Chakusikitisha, pamoja na jitihada hizo, bado Mbeya ilikuwa haitambuliki sana...Tazama hadi leo ile airport bado inasuasua!
 
jamani watu msiwe na wivu kiasi hicho kubali msikubali kjro ikoo juu kila sector.mfano mzuri tu nenda machame utakuta bonge la hotel inaitwa aishi hotel ya mbowe ni kali kinoma hata malaika ya mwanza haifurukuti,vibabu vinaishi magorofani,lami mpaka sebuleni na juzi tu kikwete kazindua barabara nyingine ya sadala hadi masama kuunganisha na ya machame.shule zipo kila mtaa,maji na umeme ni kabla ya hata uhuru.kwa kifupi ni hayo tu.
 
Huwezi kulinganisha popote na Kilimanjaro especially wilaya za moshi,pako vizuri kuanzia mjini mpaka vijijini.Wanafanya jitihada na utamaduni wa kurudi kwao na kupaendeleza ndiyo siri.
 
Nape ni mpare,baba yake alikuwepo ktk system kwa kupata nafasi za bwereree enzi za uhuru na baada ya uhuru.Wana TANU wengi walikuwa makuli wasio naelimu yoyote na mchango wao ulikuwa kura,na migomo kama wangetumwa.Zitto kapata baraka za Jiji la Dar ambalo limejengewa oppportunity na watu wa makundi mbalimbali na nchi nyingi.Lissu ni mojawapo ya exceptional walijituma kwa machungu ,pia with msaada wa ushirikiano mkubwa wa jamii za Singida.Kwa taarifa yako watu wa Singida ni watu wenye kupendana sana na wapo tayari hata risk kazi kumkomboa mwenzao.
Leo ndio nasikia Nape ni Mpare!!
Mzee Moses Nnauye ambaye ni Chinga, angesikia hii , pangechimbika!!

Hata hivyo suala linalo nikers is that body politics and discussions are slowly being polarised.

Katika Tanzania ya leo tanayooleana makabila na dini mbalimbali , kujidifu kwa ukanda myu anakotoka is way too shallow and mean.
 
Sio WAOGA! Ni free thinkers! ndo maana hata mikoa hiyo ni sehenu ya ngome ya vyama vya upinzani hapa nchini! Hawadanganyiki kirahisi!
 
Watu wengine bwana kwa kuleta analysis za kibaguzi.....ndio maana hatushangai kuona Department mzima mmejezana kindugu (watu wa mbeya na kilimanjaro)....

Kila siku kujisifia......Kila siku kuwatukana watu wa Pwani ,eti Mnawaita Waswahili lakini Humuondoki Huku Pwani..kila siku mnadandia magari kuja Dar es salaam....Mshachoka Kuchunana ngozi huko kwenu ?


Hembu tutolee List ya top 20 most successfully entrepreneurs hapa Tanzania..kama hamjajikataa wenyewe...
Mtaacha lini Kujisifia kuukanda kila siku ?
Halafu kama mnajiona nyinyi Mko juu si mhame huku Pwani..
Rudini Maporini Kwenu....


Kijitu Kimeajiriwa Kama Bank Teller Kinapata 500,000 kwa mwezi kinaanza kudhani watu wa mkoa wake wote wana Maisha kama yake...Hiki kinasahau watu wa Mkoa wake wengi wao bado wanaishi maporini huko wakichunana ngozi na kuua Albino....

Halafu hivyo vi-college vya kata mnavyofungua huko maporini mnaviita Universities ?? Hamjawahi Kuziona Universities zilivyo ???

Oh sisi tuna hasira ya Maisha...kajiue basi
Mbona povu linakutoka we wapwan mbona hujapata hata ulinz wa bank,ulikuwa wap wenzenu wanavamia mji wenu wanajiendeleza mpaka wanapeana madaraka msipeane nyie..,acha kukaa kijiwen kafanye kazi..
 
Nadhani pia historia inaonyesha kwamba mkoloni alipendelea zaidi maeneo hayo kutokana na hali ya hewa lakini zaidi fertile soil kwa mazao ya biashara; matokeo yake zikajengwa shule nyingi za mission na miundo mbinu mingine muhimu for human capital development tofauti na sehemu nyingine nyingi;

Wakoloni walikuta mazingira mazuri si katika ardhi na mazingira tuu hata watu walikuwa wammejijenga hivyo tayari.Na walipoondoka impact yao ilibaki sana.Wachaga hawakufiti sana kuwa manamba kwa muda mrefu na instinct yao ya kujenga maisha ktk chochote salama kwao (calculated risk)kinachopelekea kupata hela na chakula cha hakika ndio survival prowess waliyojaliwa.Ukiangalia kwa makini utaona manamba walichukuliwa mbali sana na kuletwa Kilimanjaro.wengi wamebaki huko na kumezwa na wazawa au kufa kwa Ukimwi baada ya kuhamia ktk tabia hatarishi ili kuweza survive nje ya kazi za mashamba.

Katika mikoa mingine nimeshuhudia watu wakitajirika sana kwa kutake advantage kwa ujinga wa watu wanaowazunguka,ila wachaga wamekuwa wkaibanana sana na wamejitahidi pata maisha ktk mazingira yote.Pengine ningependa Msifu SAID Tingatinga,ingawa hakufanikiwa sana kiuchumi, pengine background yake haikumfavour sana ila inner instinct yake anaonekana alikuwa fighter sana.Na legacy yake inaonekana.
 
Mbona sisi Kigoma hatuna chuo lakini tumeshika serikali. uliza katika jf wangapi tunatoka Kigoma uone mambo humu
 
Hakuna mkoa unakosa wasomi,Mimi nilivyomuelewa mtoa mada ni kuwa kuna mikoa imezidi kwa viwango vya wasomi na wanasiasa,na pia imevuka mbali katika suala la maendeleo,Kina Tundu lisu na kina Kabwe wapo na wengine wa mikoa mbali mbali lakini ukiangalia haraka tu unagundua Kilimanjaro na Mbeya wako mbali sana,yaani untouchable.Wenzangu kwa kina iwe walikuwa fiti hata sasa wako fiti lakini watoto wao walibweteka kwa sababu baba ana hela ikawakost baada ya wengi baba zao kuporomoka.Mnaotoka Kilimanjaro wote mtanikubalia kuwa mali ya baba ako sio ya kwako,unapaswa kutafuta ya kwako.Wenzetu wanasubiri baba yao afe wauze mnazi wagawane hela,sasa akili hiyo.....
 
kwa kilimanjaro sababu za kihistoria zinubeba sana..lot of xculs tangia mkoloni, mbeya ni watumishi wa mungu wengi sadaka hazina makati wala vat so ni rahisi kutoka coz gross income yetu ndio net income yao.
 
Mbona povu linakutoka we wapwan mbona hujapata hata ulinz wa bank,ulikuwa wap wenzenu wanavamia mji wenu wanajiendeleza mpaka wanapeana madaraka msipeane nyie..,acha kukaa kijiwen kafanye kazi..
Ukisikia Pa...ujue limekupata.....
Povu linakutoka wewe....watu wa pwani ni Wakarimu na wastaarabu...Imagine Dar es salaam Ingekuwa Kilimanjaro ..asingetia mguu mtu mwengine yoyote ...wewe si unaona mshaanza kudai nchi yenu ya kaskazini.....
Muache tabia mbovu za kuwatukana wenyeji wenu.....
 
Hakuna mkoa unakosa wasomi,Mimi nilivyomuelewa mtoa mada ni kuwa kuna mikoa imezidi kwa viwango vya wasomi na wanasiasa,na pia imevuka mbali katika suala la maendeleo,Kina Tundu lisu na kina Kabwe wapo na wengine wa mikoa mbali mbali lakini ukiangalia haraka tu unagundua Kilimanjaro na Mbeya wako mbali sana,yaani untouchable.Wenzangu kwa kina iwe walikuwa fiti hata sasa wako fiti lakini watoto wao walibweteka kwa sababu baba ana hela ikawakost baada ya wengi baba zao kuporomoka.Mnaotoka Kilimanjaro wote mtanikubalia kuwa mali ya baba ako sio ya kwako,unapaswa kutafuta ya kwako.Wenzetu wanasubiri baba yao afe wauze mnazi wagawane hela,sasa akili hiyo.....

Tatizo ni Link ya elimu yao,utajiri wao na impact yake kwa jamii yao.Beleve me hawa jamaa wa mikoa mingine wameshindwa reflect kwa mikoa yao kama walivyoshindwa kwa nchi.Wasome vizuri.Wapo selfish sana.
 
Hakuna mkoa unakosa wasomi,Mimi nilivyomuelewa mtoa mada ni kuwa kuna mikoa imezidi kwa viwango vya wasomi na wanasiasa,na pia imevuka mbali katika suala la maendeleo,Kina Tundu lisu na kina Kabwe wapo na wengine wa mikoa mbali mbali lakini ukiangalia haraka tu unagundua Kilimanjaro na Mbeya wako mbali sana,yaani untouchable.Wenzangu kwa kina iwe walikuwa fiti hata sasa wako fiti lakini watoto wao walibweteka kwa sababu baba ana hela ikawakost baada ya wengi baba zao kuporomoka.Mnaotoka Kilimanjaro wote mtanikubalia kuwa mali ya baba ako sio ya kwako,unapaswa kutafuta ya kwako.Wenzetu wanasubiri baba yao afe wauze mnazi wagawane hela,sasa akili hiyo.....

kimo kwikwikwikwikwikwikwikwi nan tena hao hadi baba yao afe wauze mnaz wagawane pesa au ndo nyumba za uridhi hadi shangaz na mashemej wanakaa humohumo...
 
Last edited by a moderator:
Ukisikia Pa...ujue limekupata.....
Povu linakutoka wewe....watu wa pwani ni Wakarimu na wastaarabu...Imagine Dar es salaam Ingekuwa Kilimanjaro ..asingetia mguu mtu mwengine yoyote ...wewe si unaona mshaanza kudai nchi yenu ya kaskazini.....
Muache tabia mbovu za kuwatukana wenyeji wenu.....
Ukarimu ni kuish na wa2 vizur sio kuuza hadi chumba unacholala,mnauza then mnahamia porin,.waliohamia pwan waliwafuata nyie au wanaangalia channel za biashara ndo maana utakuta wa2 wa kil,mbeya na mikoa mingine wametapakaa tz nzima wanatafuta pesa,ukija kwe2 2takukaribisha ila hakiuzwi ki2 kizembezembe na bado mtahamia hadi baharin...
 
jamani watu msiwe na wivu kiasi hicho kubali msikubali kjro ikoo juu kila sector.mfano mzuri tu nenda machame utakuta bonge la hotel inaitwa ya mbowe ni kali kinoma hataya mwanza haifurukuti,vibabu vinaishi magorofani,lami mpaka sebuleni na juzi tu kikwete kazindua barabara nyingine ya sadala hadi masama kuunganisha na ya machame.shule zipo kila mtaa,maji na umeme ni kabla ya hata uhuru.kwa kifupi ni hayo tu.[/QUOT kaka mwanza na moshi r u serious mara ya mwisho ulifika lini mwanza? Kwa usafi sawa
 
hizi fikra kama na watu wa mikoa mingine esp PWANI na LINDI an et al. waufanyie kazi huu uzi na comments za wa2 na sio kujibu kwa majungu na vijembe badala ya kujiuliza wapi wamekosea na kurekebisha ili Nchi yetu iende mbele kwa ujumla na sio kuleta idea ya ukanda wakati huu ni ukweli mtupu.
 
Back
Top Bottom