NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Nyie Espora nyie msitufanyie hivyo wezenu bhna ,Bongo pazuri acheni kutugonganisha.Hata hivyo huku Kilimanjaro hatutamchagua.
Nyie Espora nyie msitufanyie hivyo wezenu bhna ,Bongo pazuri acheni kutugonganisha.Hata hivyo huku Kilimanjaro hatutamchagua.
Mleta mada naye atakuwa kaja na Kisu toka ubelgiji hajui chochote kuhusu mila za kiafrika anachojua ni kula chakula kwa kijiko na umma tu na kuongea kingerezaChadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hutamuona tena jamii forums atatoroka kurudi ubelgiji akichechemeaOct 28, uje utengue kauli.