Hawez kula 100 aseeAsipokula?
Akila punje 100?
Da milikwenda kwa mganga nilipewa shart siliwezi kabisa akaniambia eti baada kufanikiwa niwe na mwanamke mmoja tu yaani mke wangu nisichepuke ,sasa naanzaje kua na mwanamke mmoja wakati hela nnayo nilishindwa tena nilimwamwambia siku ingine nikienda anipe mashart mepesiiSi wote jamani, namfahamu jamaa mmoja jirani yagu ambaye Kila kukicha "wenyeji" wanamwita "Mshirikina ndy maana anatajirika!" Lakn binafsi nikiangalia pesa anazoinvest na marejesho anayopata ni sawa kabisa kutajirika siku hadi siku, he is up saa kumi na moja alfajiri na analala saa saba usiku!!!!! wabongo wengi hawakosi maneno wanapoona mafanikio ya wenzao! UVIVU TU.😠
Hawez kula 100 asee
Natafuta hata hiyo sijapata ebu nielekeze ni wapi ipo niendeDa milikwenda kwa mganga nilipewa shart siliwezi kabisa akaniambia eti baada kufanikiwa niwe na mwanamke mmoja tu yaani mke wangu nisichepuke ,sasa naanzaje kua na mwanamke mmoja wakati hela nnayo nilishindwa tena nilimwamwambia siku ingine nikienda anipe mashart mepesii
Utapeli tu hakuna jengine.Je hao waganga wanaogawa utajiri au kuulinda wana hali gani kimaisha na uelewa wa contemporary issues za fedha na biashara?
wengine hizo biashara ni sehemu ya kushindia mchana, usiku wanakamata machine gun