Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,547
Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa baada ya Lori la mizigo lililokuwa limesheheni mbolea, kuferi breki na kuyaparamia magari madogo manne na Bajaji moja kwenye mteremko wa mlima Mbalizi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.