imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,678
- 71,030
Dogo Tuliza mshono dogo.Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Dogo Tuliza mshono dogo.Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Sasa hapo umma umehusikaje?Nguvu ya Umma ni nguvu ya Mungu, Karibu tena Uraiani Mdude
Ujinga huo.Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Ningependa kujua ni jinsi gani umma ulivyosaidia MDUDE kuachiwa huru.Nguvu ya Umma ni nguvu ya Mungu, Karibu tena Uraiani Mdude
Natoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6 , kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani
Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania , ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi
Mungu mkubwa. Ndio maana tunasema utawala wa shetani uliokuwa umekomaa sasa unaanguka kwa kishindo. Shame to you RPC wa Songwe, Chalamila na kundi lako la kihuni. Upanga wa moto wa Mwenyezi Mungu uwaandame nyie na familia zenu hadi kiyama.Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania , ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi
Kwa kweli wakamatwe kwa sababu hukumu imeeleza wazi kwamba inaelekea madawa ya kulevya yaliwrkwa na polisi wakati wa upekuzi au kabla ya upekuzi, na pia katika upekuzi utaratibu haukufatwa na katika kumkamata utaratibu haukufatwaNatoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6 , kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani
Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania , ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi
Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya.
Pia soma
- Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi
Kigogo alisema ataenda kunya juu ya kaburi lake, nafikiri akifanikiwa hilo ni hukumu tosha sana kwa JiweSasa Mwendazake tutamshitaki vipi?
Hivi mimba aliyokupa huyo TL hujazaa tuuuu?Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Kweni alishtakiwa kwa kosa la kutukana?Kiwanda Cha matusi kipo huru.
Na genge lakeAibu nyingine kwa mwendazake.
Ni jambo jema!Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya.
Mdude alikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin gramu 23.4 mwaka 2020.
Pia soma
- Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi