mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,693
- 37,294
haya ndio yale matoto yanayojua matako ya baba zao kwa kupiga chabo.Mkubwa hatukanwi na wala havunjiwi heshima bali anakosolewakistaarabu.
Kwa hiyo akishindwa kuwajibika usimvunjie heshima na kumtukana,unatakiwa umkosoe tena assume unamkosoa baba yako hivyo utumie akuli za kiungwana kukosoa.
Ukijiona jabali,ukijiona kwamba una haki ya kutumia lugha yeyote kwa sababu kakosea na hawajibiki basi hatuumii sisi utaumia wewe na familia yako nyumbani.
Sisi tutaendelea kuepukana na shari zao huku wewe ukiendelea kusota jela kwa ushujaa wako.
Sisemi kuwa ukitumia kauli za kiungwana hautakutwa na masaibu hapana,unaweza kutumia kauli hizo na ukakutwa lakini huo usiwe mwanya wa wewe kusema utukane tu.
Ttaizo watanzania hatuna adabu,tukiingia kwenye isasa tunaacha adabu nje
hayana adabu hata ya dalili.