Mbeya: Mbowe apokea zawadi toka kwa Wanachama wa CHADEMA waliohudhiria kikao cha ndani

Kuuwa Chadema si tu kwamba imeshindikana, Bali haitawezekana milele, kama kuna mtu alilipwa hela ili auwe Chadema basi bila shaka anapaswa kuzirejesha kwa wenyewe, au kama hayupo basi familia yake ilipishwe gharama ya utapeli wa ndugu yao.

Chadema haifi na wala haitakufa.

Hii hapa ni video ikionyesha vikao vya ndani vya Chadema, huku wanachama wakimimina zawadi kwa Mwamba Mbowe huku usafiri wake ukishindwa kuzibeba, imebidi ajipapase mfukoni ili akodi Scania yenye kontena la Futi 40 kuweza kubeba mizigo aliyopewa Mbeya wakiwemo mbuzi kadhaa.

View attachment 1817930
View attachment 1817929

Unafeli Hapo tu Pa kutaja wasiohusika. Inaonyesha mnapanga matukio. Kwanini Usiwe na hoja tu straightforward— Mbowe Leo kapokea Zawadi. Hayo mengine ndo udhaifu wako ulipolala.
 
Huna jibu,umesoma swali ukatambua kua kosa ulilolifanya kwenye heading yako limeharibu content yote,

Naona Mod's wamekusaidia kurekebisha heading,bila shaka waliona comment yangu.
Mods hawawezi kufuata maagizo yako , na tena nachukua nafasi hii kuwakumbusha mods kwamba nyuzi zingine ni za Nahau , badala ya kuedit ni bora wafute uzi , kuedit kunaondoa fikra pevu za watu kufikiria
 
Kuuwa Chadema si tu kwamba imeshindikana, Bali haitawezekana milele, kama kuna mtu alilipwa hela ili auwe Chadema basi bila shaka anapaswa kuzirejesha kwa wenyewe, au kama hayupo basi familia yake ilipishwe gharama ya utapeli wa ndugu yao.

Chadema haifi na wala haitakufa.

Hii hapa ni video ikionyesha vikao vya ndani vya Chadema, huku wanachama wakimimina zawadi kwa Mwamba Mbowe huku usafiri wake ukishindwa kuzibeba, imebidi ajipapase mfukoni ili akodi Scania yenye kontena la Futi 40 kuweza kubeba mizigo aliyopewa Mbeya wakiwemo mbuzi kadhaa.

View attachment 1817930
View attachment 1817929
CHADEMA ina roho saba kama za paka haiwezi kuuawa kibwege na kikundi kidogo cha wachumiatumbo na wahalifu waliokuwa wakiongozwa na mwendazake. Mungu hadhihakiwi. Mwendazake angeendelea kuishi angeiharibu hii nchi. Ndio maana Mungu aliamua kuingilia kati na kumtowesha hapa duniani ili asiendelee kutuharibia nchi yetu yenye amani na upendo kila kona.
 
Shida mnajifanya hamjui dalili ya kitu kilichokufa. Kwa kuwakumbusha tu ni kwamba:

1. Kwa viumbe hai hususani binadamu ni mapigo ya moyo kuwa 0, kupumua kuwa 0 na fahamu za ubongo kuwa 0.

2. Kwa vyama hususani chadema ni idadi ya wabunge kuwa 0, idadi ya madiwani kuwa 0 na idadi ya wenyeviti wa mitaa au vijiji kuwa 0.

Kiumbe kikifa kukifufua ni jambo lisilowezekana ila wapo watu wanaofanya usanii wa kufufua watu hususani baadhi ya wachungaji wa makanisa ya walokole. Vivyo hivyo kwa vyama kama chadema watu wanaweza fanya usanii wa aina hiyo wa kufufua.
Umebugi stepu ndugu! Muasisi wa hiyo imani kwamba uhai wa CHADEMA ni ubunge na ruzuku kasepa zake na msaidizi wake mwenye faili Mirembe, anaaga aga mashindano! Uhai wa chama cha siasa ni wanachama, na CHADEMA wapo lukuki!
 
Mhhhh kontena la kubeba kipeto kimoja na mbuzi au la kubebea hao watu.
Akili ya kinafki, hii video ni wakilishi ya sekunde kadhaa, sasa Kama unataka video ya toka hao mbuzi wana akiwa na sadaka zote nenda YouTube au Mbeya
 
Back
Top Bottom