APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,048
- 8,627
NaloliAlimatingo alekile ukubhomba imbombo ja bunyambala,andile ingonyofu,gwa ngili
NaloliAlimatingo alekile ukubhomba imbombo ja bunyambala,andile ingonyofu,gwa ngili
Alikutwa na laini za Halotel 13, laini za Tigo 29, laini moja ya TTCL, laini 78 za VodaCom na laini 20 za Airtel, pia alikutwa na vocha zilizotumika 5 za VodaCom, 4 za Tigo, 48 za Airtel na 3 za Halotel pamoja na simu Itel (3), Oking (1) na Hotwave (1)
Matumizi yake ya udanganyifu wa kujipatia pesa kwa njia isiyo halali.Kwani kuna kosa la kumiliki laini nyingi?!!