Ndugu zangu watanzania kwa mara nyingine tena mbeya yalipuka kwa moto,mara hii ni eneo la ndaga ktk wilaya ya Rungwe barabara ya malawi mbeya.vurugu hiz zimetokana na kitendo cha serikari kuweka ushuru mkubwa wa mazao ktk enenm hilo.Vurugu hizo zimepelekea kuchomwa kwa matairi barabarani na kusababisha usumbufu kwa wasafiri walio kuwa wakitumia njia hiyo kati ya saa7 mchana hadi saa 10 jion gii ndio TANZANIA bhana.Naomba kuwashlisha.