Mbeya Kuna Mambo: Hebu Cheki Majina wanayopewa Watoto wa Kisafwa

Hii inanikumbusha utani niliotumiwa kwenye simu yangu ya mkononi; ambao na unukuu "Umeipata ya Mbeya ya watu Sensa kutoka Dar walivyopata tabu Mbeya? Kwenye familia moja,
Jina lako mtu wa kwanza Mzee: Naitwa Ambanile Mwakipumbu,
Mama naitwa Amfugile Mwakivuzi,
Watoto:
1. Antombile Mwakikuma,
2. Amfilile Mwakikundu
3. Anyonyile Mwakisimi.
Ingekuwa wewe ungefanyaje?
ningwekimbia
 
Mbeya ni Mkoa wenye Historia tata sana Tanzania, ni Mkoa wenye Makanisa Mengi sana lakini ni Mkoa ambao watu wake wanawindana kama Chui anapowindwa kwa maana Ngozi yake ni dili, lakini vile vile ni Mkoa ambao sasa ikifika saa Kumi na Mbili wakazi wake hujifungia ndani ili kuepuka kushambuliwa kwa Nondo kwa imani za Kishirikina.

Lakini nimekutana na Jambo la Ajabu ajabu sana juu ya hawa ndugu zetu Wasfwa ambao ndio wakazi wa Mbeya, wamekuwa wakiwapa watoto wao Majina mpaka unashangaa sana

Mfano wa Majina ya watoto ambayo niliyowahi kukutana nayo pale nilipokuwa niko zamu kwenye wodi ya watoto Rufaa

1: Frank Lampard Mwambulukutu ( hako ni katoto kadogo)
2. Scania Hundred
3: RPCMorogoro Mwakyoma
4: Rooney

Sasa Mtu unamwita mtoto wako RPCMorogoro kweli haya ni Mapenzi au

Napenda sana kusikia kutoka kwa Wasafwa naamini mko hapa Jukwaani
Wasafwa wa leo huwapa watoto wao majina kutokana na vitu vingi . Mfano baba ni mpenzi wa soka na anampenda Ronaldo au mess basi akipata mtoto humwita Ronaldo . Pia kuna majina kutokana na matukio mfano mtu akiitwa Nzala ujue alizaliwa kipindi cha njaa , akiitwa mbwiga alikua kwa madawa , akiitwa mbozyo ni wa kike aliekulia madawa . Pia kuna wengine huitwa Awilo sababu ya mziki na wengine huitwa Lampard n.k . Ila jua kuwa sisi wasafwa bado tunadumisha majina ya asili .
 
T
Hii inanikumbusha utani niliotumiwa kwenye simu yangu ya mkononi; ambao na unukuu "Umeipata ya Mbeya ya watu Sensa kutoka Dar walivyopata tabu Mbeya? Kwenye familia moja,
Jina lako mtu wa kwanza Mzee: Naitwa Ambanile Mwakipumbu,
Mama naitwa Amfugile Mwakivuzi,
Watoto:
1. Antombile Mwakikuma,
2. Amfilile Mwakikundu
3. Anyonyile Mwakisimi.
Ingekuwa wewe ungefanyaje?
Teeeeeeee ni kawaida sana hayo majina maana ni ya asili toka kwa wasafwa na wanyakyusa
 
A
Hayo ni majina manne tu kati ya wanyakyusa takribani 1050000.

Rooney peke yake haiashirii unyakyusa kama ilivyo Scania Hundred, hujaweka uthibitisho kuwa hao ni wanyakyusa.

Kulikuwa na kiongozi wa juu jeshi la polisi anaitwa Absolom Mwakyoma isijekuwa umechanganya dawa na mtu akamwita kwa cheo, mkoa wake na jina la ukoo ukadhania ni jina la kuzaliwa.

Frank ni jina kikristo lenye asili ya uingereza vile vile Lampard ni jina kikristo lenye asili ya uingereza na kaikatazwi na wala si ajabu kumpa mtoto majina hayo mawili.
Amezungumzia WASAFWA mkuu
 
Mbeya ni Mkoa wenye Historia tata sana Tanzania, ni Mkoa wenye Makanisa Mengi sana lakini ni Mkoa ambao watu wake wanawindana kama Chui anapowindwa kwa maana Ngozi yake ni dili, lakini vile vile ni Mkoa ambao sasa ikifika saa Kumi na Mbili wakazi wake hujifungia ndani ili kuepuka kushambuliwa kwa Nondo kwa imani za Kishirikina.

Lakini nimekutana na Jambo la Ajabu ajabu sana juu ya hawa ndugu zetu Wasfwa ambao ndio wakazi wa Mbeya, wamekuwa wakiwapa watoto wao Majina mpaka unashangaa sana

Mfano wa Majina ya watoto ambayo niliyowahi kukutana nayo pale nilipokuwa niko zamu kwenye wodi ya watoto Rufaa

1: Frank Lampard Mwambulukutu ( hako ni katoto kadogo)
2. Scania Hundred
3: RPCMorogoro Mwakyoma
4: Rooney

Sasa Mtu unamwita mtoto wako RPCMorogoro kweli haya ni Mapenzi au

Napenda sana kusikia kutoka kwa Wasafwa naamini mko hapa Jukwaani
Mwagonaaa mwagonaaaa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom