Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya, limeiambia JamiiForums kwamba Lissu walimpeleka kituoni kumuelekeza utaratibu unaotakiwa kifuatwa wakati wa Mkusanyiko. Amesema kulikuwa na maandamano Makubwa na Polisi hawakua na taarifa. Hivyo ikabidi aelekezwe Umuhimu wa Ushirikiano kati ya vyama vya siasa na Polisi. Amesema Mbilinyi hajaingizwa Mahabusu wala kuandikishwa maelezo.
Usitangulize Amani mkuu.....M
Mkuu Wangu Una Maneno Makali na MATUSI loooh Shusha Pumzi Mkuu Wangu Mana unaweza UKAMMEZA MTU...
Amani Amani Amani Amani Amani.
Jioni Njema Mkuu Wangu
Huyu polisi mdogo mwenye cheo duni cha OCD naye anaendeleaje huko aliko ? Hawa bila kushughulikiwa watanzania tutakuwa mabwege sana !Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Joseph Mbilinyi (SUGU) kwa tuhuma za kuratibu maandamano kinyume cha Sheria, tukio hilo limetokea leo alipokuwa anachukua fomu ya kuwania tiketi ya Ubunge jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya chama chake cha Chadema.
Sugu amekamatwa pamoja na wanachama wa Wengine wa CHADEMA. Baadhi ya Waliokamatwa ni Stive Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa, Katibu wa mbunge, Kasambala.
Hii imetokeaa bila kujulikana sababu, angalia.
=====
UPDATES;
======
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya, limeiambia JamiiForums kwamba Lissu walimpeleka kituoni kumuelekeza utaratibu unaotakiwa kifuatwa wakati wa Mkusanyiko. Amesema kulikuwa na maandamano Makubwa na Polisi hawakua na taarifa. Hivyo ikabidi aelekezwe Umuhimu wa Ushirikiano kati ya vyama vya siasa na Polisi. Amesema Mbilinyi hajaingizwa Mahabusu wala kuandikishwa maelezo.
Walimuelekeza madhara ya maandamano yasiyokuwa ba utaratibu ikiwemo kuzuia shughuli za maendeleo.
Baada ya maongezi hayo walimuachia yeye na watu wengine waendelee na shughuli zao za kisiasa.
Na bado nimeoteshwa kuna watakaopukutika zaidi .Kuna watu ukimsema.vibaya magufuli.wanakuona mbaya
Hatukuzoea huu utamadun hapo kabla
MUNGU FUNDI
Sent using Jamii Forums mobile app
14 August 2020
Mbeya, Tanzania
Hali Halisi Ilivyokuwa Katika ya Ofisi za Tume ya Uchaguzi
Ofisa wa Polisi : Naomba Twende kuna mahojiano
Sugu :Mahojiano ya nini?
Ofisa wa Polisi : kuhusu maandamano !
Sugu: Maandamano ?
7 August 2020
MZEE BUTIKU AFUNGUKA, AWAKUMBUSHA POLISI, USALAMA WA TAIFA, TPDF / JWTZ NA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA WAJIBU WAO
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku amesema ili uchaguzi wa Oktoba uwe huru na haki vyombo vya dola vinatakiwa kuhakikisha vinavilinda vyama vyote kwa usawa, huku akieleza kuwa lengo la uchaguzi ni kupata viongozi watakao tetea maslahi ya taifa ikiwa ni pamoja kupambana na Rushwa.
Source: mwananchi digital
14 August 2020
Mbeya, Tanzania
Hali Halisi Ilivyokuwa Katika ya Ofisi za Tume ya Uchaguzi
Ofisa wa Polisi : Naomba Twende kuna mahojiano
Sugu :Mahojiano ya nini?
Ofisa wa Polisi : kuhusu maandamano !
Sugu: Maandamano ?
7 August 2020
MZEE BUTIKU AFUNGUKA, AWAKUMBUSHA POLISI, USALAMA WA TAIFA, TPDF / JWTZ NA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA WAJIBU WAO
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku amesema ili uchaguzi wa Oktoba uwe huru na haki vyombo vya dola vinatakiwa kuhakikisha vinavilinda vyama vyote kwa usawa, huku akieleza kuwa lengo la uchaguzi ni kupata viongozi watakao tetea maslahi ya taifa ikiwa ni pamoja kupambana na Rushwa.
Source: mwananchi digital
NasisitizaHuyu polisi mdogo mwenye cheo duni cha OCD naye anaendeleaje huko aliko ? Hawa bila kushughulikiwa watanzania tutakuwa mabwege sana !
5 March 2024
Kinana akiri serikali ya CCM ilivuruga uchaguzi 2020-asema ujao utakuwa huru na wa haki-Hotuba kamil
View: https://m.youtube.com/watch?v=-1KMoTrBkH8
Nawatafuta wote waliohusika na mambo haya , nitawaweka hadharani majina yao wote akiwemo Simon Sirro na Lazaro Mambosasa ( kutumia vibaya Upolisi wao ) , Kassimu Majaliwa , Nape Nnauye , January Makamba , Ridhiwani Kikwete nk ( kwa kula njama ili wapite bila kupingwa ) ili Dunia ielewe uchafu waoHii nchi tutachelewa sana. Haya mambo bado tu yanaendekezwa?
Hii video mbona imeanza ku trend ? Nimeiona huko InstagramHawa jamaa wakiangalia wanajisikiaje?
Wao ni wasimamizi wa Sheria badala yake wakawa wanasiamamia kuvunjwa kwa sheria.
Tunataka wachafu wote wafurushweHii video mbona imeanza ku trend ? Nimeiona huko Instagram
Tume ya Ukweli na Maridhiano inayohusisha zile 4R kwa ukweli kabisa bila kusitasita iundwe ili kuanza upya na pia kuweka kumbukumbu sawa kwa yaliyotokea, walioumizwa, waliofilisiwa biashara n.k ili mambo yaliyotokea 2015 hadi 2021 yasijurudie tena Tanzania.Tunataka wachafu wote wafurushwe
KabisaTume ya Ukweli na Maridhiano inayohusisha zile 4R kwa ukweli kabisa bila kusitasita iundwe ili kuanza upya na pia kuweka kumbukumbu sawa kwa yaliyotokea, walioumizwa, waliofilisiwa biashara n.k ili mambo yaliyotokea 2015 hadi 2021 yasijurudie tena Tanzania.