johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,806
- 141,708
Nimeshangaa sana kutouona mkoa wa Mbeya kwenye 10 bora matokeo ya Darasa la Saba.
Je, ni siasa zimetufelisha au tatizo ni nini? Yawezekana tuliendekeza siasa tukasahau watoto madarasani.
Niishie hapo kama nimetazama vibaya niko tayari kusahihishwa.
Maendeleo hayana vyama!
Je, ni siasa zimetufelisha au tatizo ni nini? Yawezekana tuliendekeza siasa tukasahau watoto madarasani.
Niishie hapo kama nimetazama vibaya niko tayari kusahihishwa.
Maendeleo hayana vyama!