Huyu jamaa ni mfanyabiashara Wa mitumba Mbeya, alifariki mwezi 6 tarehe 4, 2018. Mpaka sasa miezi 4 mwili wake haujazikwa mpaka Leo hii.
Wanafamilia mpaka Leo hii wako kwenye matanga na shughuli za kiuchumi zimesimama kwani kuna kesi imefunguliwa lengo ni kujua chanzo cha kifo chake kwani familia inadai kuwa ndugu yao amefia akiwa mikononi Polisi.
Mimi nadhani wanautesa mwili wa Marehemu kwani hata ikithibitika kuwa alidhulumiwa maisha hawawezi kurudishiwa uhai wake.
Wanafamilia mpaka Leo hii wako kwenye matanga na shughuli za kiuchumi zimesimama kwani kuna kesi imefunguliwa lengo ni kujua chanzo cha kifo chake kwani familia inadai kuwa ndugu yao amefia akiwa mikononi Polisi.
Mimi nadhani wanautesa mwili wa Marehemu kwani hata ikithibitika kuwa alidhulumiwa maisha hawawezi kurudishiwa uhai wake.