Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,631
- 218,060
Asalaam Alleykhum , baada ya Salamu hii, Taarifa ikufikie Kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinatangaza kufanyika kwa kongamano kubwa la Katiba Mpya Mkoani Mbeya.
Kongamano hilo ambalo nimefanikiwa kuona Majina ya watoa mada ambao ni "WATU WAZITO" , Limepangwa kurindima kwenye ukumbi wa TUGHIMBE tarehe 1/05/2022, ambayo ni siku ya Wafanyakazi Duniani.
Wote Mnakaribishwa.
Ramadhan Kareeem.
UPDATES
========
View attachment 2207527View attachment 2207528View attachment 2207529
Kongamano hilo ambalo nimefanikiwa kuona Majina ya watoa mada ambao ni "WATU WAZITO" , Limepangwa kurindima kwenye ukumbi wa TUGHIMBE tarehe 1/05/2022, ambayo ni siku ya Wafanyakazi Duniani.
Wote Mnakaribishwa.
Ramadhan Kareeem.
UPDATES
========
View attachment 2207527View attachment 2207528View attachment 2207529