Mbelwa Kairuki ateuliwa kumrithi January Makamba Ikulu

Status
Not open for further replies.
Ntemi Kazwile, kijana deserves the best, sio nyota ndio imeanza kuiwakia familia, kijana anatoka familia bora, ambapo angeamua kufanya kazi ndani ya kitegauchumi cha familia, angelipwa ten times better, hivyo alipoingia serikali, naamini aliingia with determination and for the love of it na sio for the reward.

Nilimkubali jamaa ni jembe, wakati wa vikao vya UN GA, jamaa alikuwa stationed NW kipindi chote akinyoonya mambo, huku akiishi simple life pale kwa Mama K. Mt. Vernon. Anatoka high profile family and yet anaishi down to earth life, hakujisikia yuko juu, sasa ndio kapandishwa juu kiukweli ukweli.

Apewe hongera zake.

Mkuu Pasco, Ndio maana muanzilishi wa thread anafikiri kuna chembechembe ya nepotism hapo. Ungesema jamaa ni mtoto wa mkulima aliyeekwenda shule tu ingeweza kueleweka lakini unapotaja sifa kuwa family yake ni high profile kwa nini hio isiwe pengine ndio sababu ya ghafla yeye kuwa msaidizi wa raisi Ikulu na mkewe kuwa mbunge wa Viti maalumu???

Familia "bora"... for some reasons I found this description offensive!

Mimi na wewe tumetoka kwenye familia "duni"....I guess....

Nahisi kuna mtu (recently) kachakachua password ya Mkuu Pasco..............hii sio "material" yake aisee...........duuuhh
 
Jamani, great thinkers, tufikie mahali tuwahukumu watu kwa uwezo wao na si aina gani ya familia wanatokea. Haiwezekani mtu apewe nafasi kwa kuhurumiwa tu eti kwasababu ni mtoto wa mkulima au vilevile, si vema mtu akapewa nafasi eti tu kwasababu ni Mtoto labda wa Makamba.

swali la msingi ni je huyo mtu ana uwezo wa kutekeleza majukumu yaliyo mbele yake au la? ana vigezo stahiki au la?

Tukumbuke, hayo "mafamilia" yenye majina makubwa ndio yanasomesha watoto zao kwenye shule nzuri na hata kuwapeleka ulaya kwa masomo ya ngazi za juu, obviously, competitiveness ya hao watoto itakuwa ni ya juu kuliko wale waliopitia ze kayumba system.

Mi nafikiri, pamoja na kuhoji mambo kama hayo, pia tuchukue hiyo kama changamoto, kama sisi tulitoka familia za wakulima basi angalau watoto zetu tuwasomeshe kwenye mazingira mazuri na baadae waweze kuwa washindani wazuri katika mfumo. Sasa hapo ikitokea mwanangu ana vigezo vyote halafu mtu mwingine anaajiriwa eti kwasababu tu "second name" yake inaishia na Kikwete, alloooo, tutachinjana kwelikweli!!

Siyo necessary kwamba mtu anaenda kusoma shule nzuri yupo bora zaidi kielimu kuliko yule aliyeenda kusoma ktk shule za ngazi za chini. Owner of Facebook, na Bill Gates wote ni college dropout, lakini sasa hivi ni mabilionaire.

Serikali ya CCM, ni kweli kabisa inaendeshwa "kiukoo" (watoto wa vigogo wa CCM). We need to have Judiciary hearing before anyone can be hired.
 
The informer, nijuavyo mimi Private Assistant wa Waziri Membe ni ndugu anayeitwa James Bwana. Hata hivyo Mbelwa alikuwa ni moja kati ya washauri wa Membe.

Binafsi nimjuavyo Mbelwa ni kijana ambaye ni Mzalendo na ameweka sana mbele maslahi ya Taifa. Nimedeal naye baadhi ya issues haza zinazohusu Diaspora, jamaa ana uwezo wa kuona fursa mbalimbali na kujenga hoja za nguvu.

Nakumbuka 2008 ali-link up na network kubwa sana ya diaspora kwa ajili ya kufanikisha mabo fulani ya kitaifa.

Ana uwezo wa kuandika mawazo binafsi (siyo copy and paste) na very original ambayo kama yakifanyiwa kazi yanaweza yakaleta maendeleo.

Nikimlinganisha na January ambaye kazi zake zilionekan kupitia Hotuba za JK, Mbelwa ni Kichwa. Ni kijana asiye na majivuno na aliyeacha milango wazi kwa wote.

Hongera sana Mbelwa. Kaza buti Mkuu. Tuko pamoja. Endeleza libeneke.

Mkuu mapaka leo hujamjuwa mkwere wetu....!!!? hata apewe mtu mwenye PHD au mwenye busara kama nabii Suleiman; kile alichoandikiwa anaweka kando na kuanza kuongea "Ugong'ota na Umbayuwayu" in short anasahau alichoandikiwa na kuweka porojo zake...design mheshimiwa huwa hapitii Hotuba zake na ananaongeaga kutokana na halaiki yake inavyompokea...Makofi yakizidi anapoteza mwelekeo; mnuno ukitawala mkutano anajilazimisha kusmile na mipasho ndani...so don't expect anything new!
 
By the way ni mwaka huu amemaliza the second masters ... so you can be sure professional wise the guy is beefed up.
 
huyu jamaa hii nafasi aliyoipata sasa ni kubwa sana so inabidi aache kutoka na wake za watu, watoto wote wa mjini tunajua kuwa anamuibia mwanamziki mmoja maarufu wa bendi inayopiga mziki wa kikongo ya hapa dar.

prove it, ngoja siku uulizwe mbona mlikuwa hamjasema hayo kabla ya uteuzi wake wabongo hutuishii kuosha vinywa
 
Ntemi Kazwile, kijana deserves the best, sio nyota ndio imeanza kuiwakia familia, kijana anatoka familia bora, ambapo angeamua kufanya kazi ndani ya kitegauchumi cha familia, angelipwa ten times better, hivyo alipoingia serikali, naamini aliingia with determination and for the love of it na sio for the reward.

Nilimkubali jamaa ni jembe, wakati wa vikao vya UN GA, jamaa alikuwa stationed NW kipindi chote akinyoonya mambo, huku akiishi simple life pale kwa Mama K. Mt. Vernon. Anatoka high profile family and yet anaishi down to earth life, hakujisikia yuko juu, sasa ndio kapandishwa juu kiukweli ukweli.

Apewe hongera zake.

Hongera kwake.

Wasiwasi wngu mimi Je atapewa nafasi yeye kama Mbelwa, au ataambiwa aandike yale ambayo WAO wanayahitaji?
Na hapa ndipo tunapopoteza watu ambao ni mhimu kwa mstakabali wa taifa letu.

Mtu safi kufanya kazi na mchafu nani atadominate?
 
Familia "bora"... for some reasons I found this description offensive!
Mzee Mwanakijiji, sorry kwa 'familia bora' offensive, ila ili iwe genuine offensive, inategemea imetumika kwa nia gani, the motive behind.

Kwa vile Tanzania ni nchi masikini na watu wake tunaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, akiibuka mtu na kumtaja fulani, ametokea kwenye familia bora ili kumuonyesha huyo mtu ni bora kuliko wengine, kwa maana hiyo, hao ambao hawakutokea familia bora ndio sio bora, in that contex, kweli itakuwa ni ofensive na kama hii ndio tafsiri yako, then I'm sorry.

Kutokea familia bora nilikomaanisha mimi, ni familia aliyotokea, hakuitaji ajira ya umma ili kupata shughuli ya kuendesha maisha yake, kama lengo lake lilikuwa ni kupata top life, angeingia kwenye family bussiness na angelipwa ten times. Wengi wetu tunaingia kwenye ajira for survival or sustainability na ni wachache wanaingia kwenye ajira fulani as a choice for the love of it hata kama you get nothing out of that na hivyo ndivyo kijana huyu aliyoingia utumishi wa umma.

Nimemention familia bora ili kumpambanua na gold diggers, yeye ameacha dhahabu nyumbani na kuchagua mavumbi, hivyo kilichompeleka pale ni patriotisim kwa nchi yake, na nadhani alipoanza wanafamilia lazima walimshangaa ila sasa ndio wanamuelewa. Ukitoka kwenye familia bora na kukubali kuishi down to earth life, hiyo pia ni karama!.

Kijana aendelee kupewa hongera zake, na uteuzi huu pia ni uthibitisho kuwa watu wanarise on merits to the top na sio lazima wabebwe!.
 
Nahisi kuna mtu (recently) kachakachua password ya Mkuu Pasco..............hii sio "material" yake aisee...........duuuhh
Ogah, hakuna mtu aliyechakachua password yangu, mimi formular yangu ni ile ile, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Ila pia as times go by ndani ya jf nimejikuta to lern a lot toka kwa members wetu humu jamvini, kuna type ya wenzetu wao wanaside na critics too mwanzo mwisho, likisemwa jema kuhusu mtu, linapinduliwa linaguezwa na kuonekana baya.

Lets be honest among ourself kumbe kutoka familia bora sounds offensive!.

Nimenotice elements za chuki binafsi toka baadhi yetu zikielekezwa kwa waliofanikiwa on way or another, mimi nakiri ni masikini, nimetoka familia masikini, na ninaishi kwenye umasikini, lakini ninapata genuine hapiness moyoni nikisikia mafanikio ya yoyote na kwenye comments zangu nyingi hupenda wenye mafanikio hawa watendewe vyema.

Uthaifu wangu mkubwa, ni speaking my mind honestly, in doing so, I sometimes i do cross the line to hurt somebody or to offend somebody, na kwa vile always its not my intention, siku zote husema sory if it makes you feel bad, but that is me and I will remain to be me-Pasco.
 
Duh, kwa hiyo wale ambao hawatoki kwenye familia bora "don't deserve the best"?
Eqlypz, naomba tafsiri ya familia bora, isigeuzwe chuki kati ya have's na have not, sitasema katoka familia bora ili kuonyesha yeye ni bora kuliko wengine, bali katoka familia bora na kukubali kuendesha maisha duni, for the love of it, wakati he had the choice ya kuendelea na maisha bora ndani ya familia, akayaacha yote na kufuata ndoto yake.

He is just 35 with 25 more years to go, that is what bright future is all about!.

Mkitafsiri, naombeni msichukue neno kwa neno, but the motive behind!.
 
safi sana Mbelwa maana ya Mbelwa kwa Kihaya eti ni Baraka endelea hivyo hivyo uongozi unauweza, ongeza juhudi hata kufufua Hospital yenu kwani huduma sio nzuri kwa watu watumiao BIMA ya Afya, maana wandhaurika sana wakti wakiilipa miela mingi, ongeza mishaara mana kazi nyingi mishaala kiduchu, sorry haynihusu sana ya homni kwenu ila ucheki uo uongozi wa HKM, sawa bwan kubwa!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom