MAKA Jr
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 256
- 185
Kama alivyosema Ngugi wa Thiong'o kwenye Riwaya yake tamu ya 'A Grain of Wheat'; "Mbegu ya wasema ukweli haifi hata ikipandwa kwenye michongoma itaota tu, na kadri zinavyopandwa nyingi ndio kusema zitaota na kuzaa kwa wingi".
Wakati mwingine najiuliza hivi kweli huwa tunasoma hizi tunu?
Wakati mwingine najiuliza hivi kweli huwa tunasoma hizi tunu?