ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 554
- 1,134
Wakuu Salaam.
Nipo Dar es salaam ila Nina mpango wa kufuga Ng'ombe wa kisasa wa maziwa au hata kama watakuwa chotara sio mbaya ili mradi wawe na uwezo wa kutoa maziwa kuanzia Lita 10 kwa Siku.
Ninahitaji msaada wa kufahamishwa ni wapi ninapoweza kupata hao ng'ombe wa kununua au hata ndama kama nitakosa wakubwa.
Nawasilisha kwa msaada wenu
Nipo Dar es salaam ila Nina mpango wa kufuga Ng'ombe wa kisasa wa maziwa au hata kama watakuwa chotara sio mbaya ili mradi wawe na uwezo wa kutoa maziwa kuanzia Lita 10 kwa Siku.
Ninahitaji msaada wa kufahamishwa ni wapi ninapoweza kupata hao ng'ombe wa kununua au hata ndama kama nitakosa wakubwa.
Nawasilisha kwa msaada wenu