Mbegu nzuri ya muhogo

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Sep 25, 2014
2,879
4,881
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo... Nina shamba langu maeneo ya kisarawe mkoa wa pwani nimejipanga mwaka huu nilime muhogo.

Naomba kuuliza yafuatayo
1. Ni mbegu gani nzuri ambayo ninaweza kuvuna si zaidi ya miezi sita na naweza kuipata wapi?

2. Ni wakati gani mzuri wa kupanda ili niendane na msimu wa mvua?

Nawasilisha
 
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo... Nina shamba langu maeneo ya kisarawe mkoa wa pwani nimejipanga mwaka huu nilime muhogo.

Naomba kuuliza yafuatayo
1. Ni mbegu gani nzuri ambayo ninaweza kuvuna si zaidi ya miezi sita na naweza kuipata wapi?

2. Ni wakati gani mzuri wa kupanda ili niendane na msimu wa mvua?

Nawasilisha

Mi nimepanda mbegu inaitwa rasta huko na imemea vizuri sana na sasa navuna.. ila nataka kujaribu na hiyo kiroba maana naona inasifiwa na inastahimili magonjwa!!..upo maeneo gani mkuu huko kisarawe!.. kuhusu kupanda unaweza kusubiri zile mvua za masika kuanzia january february... japa hata hizi za vuli za mwezi wa kumi nazo unaweza kupanda
 
uko maeneo gani kaka?? kama uko kanda ya kati nakushauri ulime mbegu inaitwa MUMBA ni nzuri sana na mavuno yake hata kiroba haigusi kabisaaa. katika picha hizi hapo chini huu muhogo hapo ulikuwa na miez mitano na wiki mbili tu tangu upandwe. karibu sana kwa ushauri wa masoko na mbegu za mihogo. sana sana kanda ya kati.
 

Attachments

  • IMG_20171224_111029.jpg
    IMG_20171224_111029.jpg
    252.9 KB · Views: 181
  • IMG_20171224_111925.jpg
    IMG_20171224_111925.jpg
    321.2 KB · Views: 215
  • IMG_20171224_111932.jpg
    IMG_20171224_111932.jpg
    274 KB · Views: 209
Wakuu bado nahitaji msaada wa mbegu maana naona wanao coment kwamba wana mbegu, nikiwafuata PM hawajibu

Tafadhari kama kuna mtu anaweza kunisaidia wapi naweza kununua anisaidie nina uhitaji maana msimu wa kupanda unakaribia
 
uko maeneo gani kaka?? kama uko kanda ya kati nakushauri ulime mbegu inaitwa MUMBA ni nzuri sana na mavuno yake hata kiroba haigusi kabisaaa. katika picha hizi hapo chini huu muhogo hapo ulikuwa na miez mitano na wiki mbili tu tangu upandwe. karibu sana kwa ushauri wa masoko na mbegu za mihogo. sana sana kanda ya kati.
Mkuu mimi nipo Pwani wilaya ya Kisarawe vipi mbegu hiyo inaweza kukubali?
 
Mi nimepanda mbegu inaitwa rasta huko na imemea vizuri sana na sasa navuna.. ila nataka kujaribu na hiyo kiroba maana naona inasifiwa na inastahimili magonjwa!!..upo maeneo gani mkuu huko kisarawe!.. kuhusu kupanda unaweza kusubiri zile mvua za masika kuanzia january february... japa hata hizi za vuli za mwezi wa kumi nazo unaweza kupanda
Mkuu PM haujibu
 
Wakuu post hii inahitaji pia msaada wa namna ya kupata hiyo mbegu, watu wengi wametaja mbengu lakini nikiwafuata PM hawajibu, olease kama una namna ya kunisaidia naomba ujibu PM
 
Kama una nafasi nenda ofisi za idara ya kilimo Kibaha mjini, hii mbegu niliiona kwa wakulima wa mkoa wa Pwani . Fanya hivo, muhogo wake ni muhogo mtamu ambao una matumizi mengi kuanzia vitafunwa vya chai, Futari, wakaangaji n.k
Ahsante sana kwa usauri mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom