issadeus27
Member
- Nov 1, 2020
- 50
- 58
Naomba kujua ni wapi nitapata mbegu bora ya mbuzi wa nyama especially wanao zaa pacha tatu( triple)
Hilo ndo beberu sasa 😂😂Mimi nina mbegu hii.View attachment 1640836
Ndio hawa ambao kila Magufuri anasingizia si ndio...!hilo ndo beberu sasa
Ndio Yule mwanaume beberuMimi nina mbegu hii.View attachment 1640836
Naomba kujua ni wapi nitapata mbegu bora ya mbuzi wa nyama especially wanao zaa pacha tatu( triple)
Maelezo yamejitosheleza haya...asante...Jaribu kuwasiliana na kituo cha Taliri [ Tanzania Livestock Research Institute ]kilicho karibu na wewe.
..Vituo vya Taliri " al maarufu " kwa uzalishaji wa mbuzi ni vile vilivyoko Mpwapwa na Kongwa.
..Na mbuzi wanaozalishwa na vituo hivyo ni mbuzi aliyeboreshwa aina ya blended/malya.
..Kuhusu mbuzi huyo kama anazaa mapacha, au la, nakushauri uwatafute wataalamu walioko Kongwa au Mpwapwa.
..Unaweza kuwaandikia Taliri Mpwapwa kwa kutumia mpwapwa@taliri.go.tz , na Kongwa kwa kutumia kongwa@taliri.go.tz, pia namba za Taliri makao makuu ni +255 713 483 126 / +255 786 191 049
NB:
..usisahau kutuletea mrejesho wa hatua kwa hatua kuhusu safari yako ya kufuga mbuzi wa nyama.
..
Akhsante Sana mkuu npo ktk safari..Jaribu kuwasiliana na kituo cha Taliri [ Tanzania Livestock Research Institute ]kilicho karibu na wewe.
..Vituo vya Taliri " al maarufu " kwa uzalishaji wa mbuzi ni vile vilivyoko Mpwapwa na Kongwa.
..Na mbuzi wanaozalishwa na vituo hivyo ni mbuzi aliyeboreshwa aina ya blended/malya.
..Kuhusu mbuzi huyo kama anazaa mapacha, au la, nakushauri uwatafute wataalamu walioko Kongwa au Mpwapwa.
..Unaweza kuwaandikia Taliri Mpwapwa kwa kutumia mpwapwa@taliri.go.tz , na Kongwa kwa kutumia kongwa@taliri.go.tz, pia namba za Taliri makao makuu ni +255 713 483 126 / +255 786 191 049
NB:
..usisahau kutuletea mrejesho wa hatua kwa hatua kuhusu safari yako ya kufuga mbuzi wa nyama.
..
kwema mkuu, vp ulifanikisha kupata hiyo mbegu ya mapacha ya mbuzi?Naomba kujua ni wapi nitapata mbegu bora ya mbuzi wa nyama especially wanao zaa pacha tatu( triple)
Huyo simtaki hata bure mkuMimi nina mbegu hii.View attachment 1640836